Msemaji wa Serikali, Dkt. Abbas acha Dharau na Punguza Chuki zako kwa Msemaji wa Simba SC, Haji Manara

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Kuna Mtu Mmoja mpo nae sana huko Serikalini na katika ile Ofisi yako nyingine ya UNOKO UMBEA pale Oysterbay mkabala na St. Peter's Church aliwahi kuniambia kuwa una Dharau na Kujisikia sana nikamkatalia, ila kwa ulichofanya Leo nimemuamini kwa 100%.

Leo ukiwa Dodoma umefanya Press Conference yako ambapo umeongea Vitu vingi tu ila Mimi nitajikita katika Moja ambalo nina Interest nalo hasa nikiwa kama Mdau na Mdaawa vile vile wa Msemaji wa Taasisi ya Klabu yangu pendwa iliyoguswa japo ulijufanya Kufumba ila tusiokuwa na PhD kama yako lakini tumekuzidi Akili tukakugundua mapema mno.

Kauli yako ya kusema nainukuu.." Hawa Wasemaji wadogo wadogo wa hivi Vilabu ambao pia wako chini yangu Mimi wajirekebishe " ndiyo imenitoa Mafichoni All - Rounder ( Mzee wa Makavu Mubashara ) kuja Kukunyoosha kidogo kama ambavyo nimekuwa nikifanya kwa Wengine ili mbadilike.

Dkt. Abbas ( Msemaji wa Serikali ) hiki Kiburi cha Kuwaita Wenzako ( hasa akina Manara, Bumbuli na Nugaz ) kuwa ni Wasemaji wadogo wadogo umekitoa wapi? Hivi Serikali unayoisemea ina Nguvu ya Kiushawishi kuliko hivi Vilabu viwili Vikongwe nchini vya Simba na Yanga? Umesahau kuwa wenye hivi Vilabu wakiamua Kushawishiana ili CCM yako yenye Serikali unayoisemea isishinde kwa Mashabiki wake Kutoipigia Kura inawezekana na ukaishia hata Kuikosa hiyo Kazi yenyewe?

Najua fika kuwa Wewe ni Mshabiki mkubwa wa Yanga SC pia ni Rafiki mkubwa tu wa Mtangazaji wa Wasafi FM Maulid Kitenge ambaye pia ni Yanga SC Mwenzako ila Unamchukia mno Msemaji wa Simba SC Haji Manara na kubwa zaidi ni kutokana na Fame yake ambayo inakufunika Wewe kwani Manara anaisemea Klabu Kubwa nchini ambayo pia ina Mafanikio ya Kimchezo kwa sasa Barani Afrika.

Dkt. Abbas ( Msemaji wa Serikali ) nimeshangaa sana leo Kinafiki kabisa ( kwa Kujua kuna Mzozo mkubwa baina ya Rafiki yako Maulid Kitenge na Haji Manara ) ndiyo nawe ukajifanya Kukemea na Kuwafunda Maafisa Habari kwa kuwataka wafuate Maadili wakati Kimsingi hata Wewe Mwenyewe tu hayo Maadili huna. Na kuonyesha kuwa hukuwa Fair na Kufanya balance ya reference yako kwa Chuki zako Kwake Msemaji wa Simba SC Haji Manara ukaona utoe mfano mbaya wa Kumhusu Yeye ( hasa juu ya ile Kauli yake ya Kiutani ya kutowataka Mashabiki wa Yanga SC wasiingie Uwanjani dhidi ya Plateu FC ya Nigeria ) ila hukutoa Mifano mingine hasi inayowahusu Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli na Afisa Uhamasishaji wa Yanga SC Antonio Nugaz.

Labda leo nikusaidie tu Dkt. Abbas ( Msemaji wa Serikali ) na sijui kwanini hili hukulijua ( hulijui ) pamoja na Kuringia hiyo Doctorate ( PhD ) yako ya SAUT Dar es Salaam Campus. Ni kwamba Simba na Yanga ni Watani wa Jadi hivyo Kutoleana maneno ya Shombo au Kucharurana Kwao ni Jambo la Kawaida mno na tena lina Afya ya Kiushindani Uwanjani na hata Chachu ya Kibiashara na Kuongeza Hamasa kwa Sisi Mashabiki wao. Hivyo basi kutaka Kuwafunga ' Spidi Gavana ' hawa Wasemaji wao ni kutaka Kudharaulika tu na Kujipotezea muda wako. Acha Kuwafananisha hawa Wasemaji wa hivi Vilabu vikubwa viwili na hao Wasemaji wako wa Taasisi za Kiserikali unaowaburuza utakavyo kila Uchao tu. Simba na Yanga ni zaidi ya Taasisi za Kiserikali na hata huyo aliyeko hapo Ikulu ( Boss wako ) sawa?

Halafu sijui ni kwanini Dkt. Abbas unakereka sana na Haji Manara hasa akiwa anajiita Kiutani tu Msemaji wa Taifa. Kwani akijiita Msemaji wa Taifa ndiyo ameshachukua Nafasi yako ya Msemaji wa Serikali? Acha Ushamba Wewe!!!! au hujui kuwa hata Kihistoria tu Jina la Utani la Simba SC ni Taifa Kubwa? Umeniangusha sana Mwanazuoni Wewe kwa hili ( japo najua Kichwani kwa IQ upo vizuri ukizingatia SAUT ulikopatia hiyo Doctorate yako huwa wanazalisha Geniuses tupu )

Nimeambiwa pia na Mmoja wa Wasaidizi wako kuwa unakereka sana pale ukisikia ama Haji Manara mwenyewe anajiita au Watangazaji wa Vipindi vya Michezo nchini Tanzania wakimuita ( wakimtambulisha ) kwa kusema ni Mkurugenzi wa Habari wa Simba SC. Hivi Logically tu Haji Manara akijiita hivyo kuna Kosa? Kwanini unakereka na kila Kitu tu Cha Kihabari na Kimawasiliano unataka Ukihodhi Wewe huku ukipenda Uogopeke na Watanzania? Hii Supremacy unayoitafuta ina faida gani na ipi Kwako? Badilika upesi tafadhali hujachelewa Dkt. Abbas ( Msemaji wa Serikali ) sawa?

Mwisho namalizia kwa Kukuachia assignment ndogo tu. Tafadhali pitia Clips za aliyekuwa Msemaji wa Yanga SC ( sasa DC Arumeru ) Jerry Muro halafu malizia na Clips za Msemaji wa sasa wa Yanga SC Bumbuli na Afisa Uhamasishaji wa Yanga SC Nugaz na ukimaliza nitaomba unipe Mrejesho wako ni nani hana Maadili hasa na pengine kwa uliyoyasikia alipaswa ama Kukemewa na hata Kuchukuliwa hatua za Kinidhamu ( Kisheria ) haraka. Je, Dkt. Abbas ( Msemaji wa Serikali ) Kipindi kile aliyekuwa Msemaji wa Yanga SC Mheshimiwa DC Jerry Muro alipokuwa akimdhalilisha Msemaji wa Simba SC Haji Manara kwa Ulemavu wake wa Ngozi na Kuwadhalilisha Viongozi wa Simba SC na wana Simba SC pia ulikuwa humsikii? Mbona hukuwahi Kujitokeza Kukemea na Kukazia katika Maadili kama unavyosisitiza leo? Acha Unafiki wako tafadhali na wala Unafiki haukupendezi kama Msemaji wa Serikali na Msomi ( Mwanazuoni ) ulivyo.
 
Huyo msemaji wa serikali mipaka yake ni ipi , mbna kila sehemu anashadadia , mbna kila tukio la burudan yumo , Hana mambo mengine ya kufanya? ..... Mahindi yamezuiwa huko si akawasemee wanyonge ?? Mara utasikia wasanii waache Kiki, mara waache kucopy vionjo vya nyimbo za zaman..... Masuala ya michezo yumo , Okey fine ..kibaya Zaid anaropoka tuu bila kuainisha Sheria inasemaje , Bali anawakilisha maoni ya watu ya vijiweni yaliyomfikia , bila kujua kwamba kauli yake inabeba mambo mengi ikiwemo Sheria inayohusu Jambo husika , Bali yeye anaropoka tuuu Jambo ambalo hata lipo free kisheria ....Aaah huyu jamaa ni Msemaji wa serikali wa hovyo kuwahi kutokea.....
 
Huyo msemaji wa serikali mipaka yake ni ipi , mbna kila sehemu anashadadia , mbna kila tukio la burudan yumo , Hana mambo mengine ya kufanya? ..... Mahindi yamezuiwa huko si akawasemee wanyonge ?? Mara utasikia wasanii waache Kiki, mara waache kucopy vionjo vya nyimbo za zaman..... Nimegundua huyu jamaa ni
Msemaji wa serikali wa hovyo kuwahi kutokea
Ana hold 2 position at once ni msemaji mkuu wa serikali lkn pia ni katibu mkuu wa wizara ya hbr michezo....kwa hiyo ndiyo maana unamuona anaibuka kotekote
 
Huyo msemaji wa serikali mipaka yake ni ipi , mbna kila sehemu anashadadia , mbna kila tukio la burudan yumo , Hana mambo mengine ya kufanya? ..... Mahindi yamezuiwa huko si akawasemee wanyonge ?? Mara utasikia wasanii waache Kiki, mara waache kucopy vionjo vya nyimbo za zaman..... Nimegundua huyu jamaa ni
Msemaji wa serikali wa hovyo kuwahi kutokea
khaaaah
 
Watu walioshawishiwa na mwanamichezo mgombea udiwani, umati huu ukizidi wa wabunge na urais kwa kata moja

1615237790948.png
 
Huyo msemaji wa serikali mipaka yake ni ipi , mbna kila sehemu anashadadia , mbna kila tukio la burudan yumo , Hana mambo mengine ya kufanya? ..... Mahindi yamezuiwa huko si akawasemee wanyonge ?? Mara utasikia wasanii waache Kiki, mara waache kucopy vionjo vya nyimbo za zaman..... Nimegundua huyu jamaa ni
Msemaji wa serikali wa hovyo kuwahi kutokea
Sijui amekumbwa na nini Ndugu kwani Kichwani ( Kiakili ) He's very Brainy, ila tokea aingie ( ateuliwe ) huko Serikalini amebadilika sana. Binafsi amenisikitisha zaidi.
 
Huyu nae akae kimya tyuuh, manara atamlipua soon lol,
Najua Boss wao Namba Tatu ( KMK ) atawapatanisha tu kwa niaba ya Mtu anayewapenda Wote ( JPM ) Ndugu. Manara anakubalika nae katika Michezo ( hasa ndani ya Klabu ya Simba SC anayoishabikia ) na Dkt. Abbas anakubalika nae ndani ya Serikali yake anayoiongoza akiwa kama Rais wa JMT.
 
JF kuwa na forum ya makavu live duh
Mimi ukikengeuka tu lazima Nitakusiliba ( bila kujali Cheo chako au Umaarufu wako ) tena kwa Hoja zangu nzito nzito ili zikuume, ujumbe ukufikie na ubadilike. Sijajiita All- Rounder ( alias ) Brainiac Kimakosa Ndugu.
 
Mtu akirekebisha tayari amekua anamchukia? Sasa amchukie kwa kipi? Akikosoa tayari kashakua Yanga, angesifia usingeona huo u yanga unaosema
Usiniletee Upumbavu wako tafadhali kwani sababu za Yeye Kumchukia nimeziweka hapo juu na tena Kuzifafanua vyema tu. Ukijijua kuwa hukubarikiwa Akili nyingi na Mwenyezi Mungu nakushauri usiwe Unathubutu hata Kufungua Threads zangu All - Rounder sawa?
 
Kuna Mtu Mmoja mpo nae sana huko Serikalini na katika ile Ofisi yako nyingine ya UNOKO UMBEA pale Oysterbay mkabala na St. Peter's Church aliwahi kuniambia kuwa una Dharau na Kujisikia sana nikamkatalia, ila kwa ulichofanya Leo nimemuamini kwa 100%.

Leo ukiwa Dodoma umefanya Press Conference yako ambapo umeongea Vitu vingi tu ila Mimi nitajikita katika Moja ambalo nina Interest nalo hasa nikiwa kama Mdau na Mdaawa vile vile wa Msemaji wa Taasisi ya Klabu yangu pendwa iliyoguswa japo ulijufanya Kufumba ila tusiokuwa na PhD kama yako lakini tumekuzidi Akili tukakugundua mapema mno.

Kauli yako ya kusema nainukuu.." Hawa Wasemaji wadogo wadogo wa hivi Vilabu ambao pia wako chini yangu Mimi wajirekebishe " ndiyo imenitoa Mafichoni All - Rounder ( Mzee wa Makavu Mubashara ) kuja Kukunyoosha kidogo kama ambavyo nimekuwa nikifanya kwa Wengine ili mbadilike.

Dkt. Abbas ( Msemaji wa Serikali ) hiki Kiburi cha Kuwaita Wenzako ( hasa akina Manara, Bumbuli na Nugaz ) kuwa ni Wasemaji wadogo wadogo umekitoa wapi? Hivi Serikali unayoisemea ina Nguvu ya Kiushawishi kuliko hivi Vilabu viwili Vikongwe nchini vya Simba na Yanga? Umesahau kuwa wenye hivi Vilabu wakiamua Kushawishiana ili CCM yako yenye Serikali unayoisemea isishinde kwa Mashabiki wake Kutoipigia Kura inawezekana na ukaishia hata Kuikosa hiyo Kazi yenyewe?

Najua fika kuwa Wewe ni Mshabiki mkubwa wa Yanga SC pia ni Rafiki mkubwa tu wa Mtangazaji wa Wasafi FM Maulid Kitenge ambaye pia ni Yanga SC Mwenzako ila Unamchukia mno Msemaji wa Simba SC Haji Manara na kubwa zaidi ni kutokana na Fame yake ambayo inakufunika Wewe kwani Manara anaisemea Klabu Kubwa nchini ambayo pia ina Mafanikio ya Kimchezo kwa sasa Barani Afrika.

Dkt. Abbas ( Msemaji wa Serikali ) nimeshangaa sana leo Kinafiki kabisa ( kwa Kujua kuna Mzozo mkubwa baina ya Rafiki yako Maulid Kitenge na Haji Manara ) ndiyo nawe ukajifanya Kukemea na Kuwafunda Maafisa Habari kwa kuwataka wafuate Maadili wakati Kimsingi hata Wewe Mwenyewe tu hayo Maadili huna. Na kuonyesha kuwa hukuwa Fair na Kufanya balance ya reference yako kwa Chuki zako Kwake Msemaji wa Simba SC Haji Manara ukaona utoe mfano mbaya wa Kumhusu Yeye ( hasa juu ya ile Kauli yake ya Kiutani ya kutowataka Mashabiki wa Yanga SC wasiingie Uwanjani dhidi ya Plateu FC ya Nigeria ) ila hukutoa Mifano mingine hasi inayowahusu Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli na Afisa Uhamasishaji wa Yanga SC Antonio Nugaz.

Labda leo nikusaidie tu Dkt. Abbas ( Msemaji wa Serikali ) na sijui kwanini hili hukulijua ( hulijui ) pamoja na Kuringia hiyo Doctorate ( PhD ) yako ya SAUT Dar es Salaam Campus. Ni kwamba Simba na Yanga ni Watani wa Jadi hivyo Kutoleana maneno ya Shombo au Kucharurana Kwao ni Jambo la Kawaida mno na tena lina Afya ya Kiushindani Uwanjani na hata Chachu ya Kibiashara na Kuongeza Hamasa kwa Sisi Mashabiki wao. Hivyo basi kutaka Kuwafunga ' Spidi Gavana ' hawa Wasemaji wao ni kutaka Kudharaulika tu na Kujipotezea muda wako. Acha Kuwafananisha hawa Wasemaji wa hivi Vilabu vikubwa viwili na hao Wasemaji wako wa Taasisi za Kiserikali unaowaburuza utakavyo kila Uchao tu. Simba na Yanga ni zaidi ya Taasisi za Kiserikali na hata huyo aliyeko hapo Ikulu ( Boss wako ) sawa?

Halafu sijui ni kwanini Dkt. Abbas unakereka sana na Haji Manara hasa akiwa anajiita Kiutani tu Msemaji wa Taifa. Kwani akijiita Msemaji wa Taifa ndiyo ameshachukua Nafasi yako ya Msemaji wa Serikali? Acha Ushamba Wewe!!!! au hujui kuwa hata Kihistoria tu Jina la Utani la Simba SC ni Taifa Kubwa? Umeniangusha sana Mwanazuoni Wewe kwa hili ( japo najua Kichwani kwa IQ upo vizuri ukizingatia SAUT ulikopatia hiyo Doctorate yako huwa wanazalisha Geniuses tupu )

Nimeambiwa pia na Mmoja wa Wasaidizi wako kuwa unakereka sana pale ukisikia ama Haji Manara mwenyewe anajiita au Watangazaji wa Vipindi vya Michezo nchini Tanzania wakimuita ( wakimtambulisha ) kwa kusema ni Mkurugenzi wa Habari wa Simba SC. Hivi Logically tu Haji Manara akijiita hivyo kuna Kosa? Kwanini unakereka na kila Kitu tu Cha Kihabari na Kimawasiliano unataka Ukihodhi Wewe huku ukipenda Uogopeke na Watanzania? Hii Supremacy unayoitafuta ina faida gani na ipi Kwako? Badilika upesi tafadhali hujachelewa Dkt. Abbas ( Msemaji wa Serikali ) sawa?

Mwisho namalizia kwa Kukuachia assignment ndogo tu. Tafadhali pitia Clips za aliyekuwa Msemaji wa Yanga SC ( sasa DC Arumeru ) Jerry Muro halafu malizia na Clips za Msemaji wa sasa wa Yanga SC Bumbuli na Afisa Uhamasishaji wa Yanga SC Nugaz na ukimaliza nitaomba unipe Mrejesho wako ni nani hana Maadili hasa na pengine kwa uliyoyasikia alipaswa ama Kukemewa na hata Kuchukuliwa hatua za Kinidhamu ( Kisheria ) haraka. Je, Dkt. Abbas ( Msemaji wa Serikali ) Kipindi kile aliyekuwa Msemaji wa Yanga SC Mheshimiwa DC Jerry Muro alipokuwa akimdhalilisha Msemaji wa Simba SC Haji Manara kwa Ulemavu wake wa Ngozi na Kuwadhalilisha Viongozi wa Simba SC na wana Simba SC pia ulikuwa humsikii? Mbona hukuwahi Kujitokeza Kukemea na Kukazia katika Maadili kama unavyosisitiza leo? Acha Unafiki wako tafadhali na wala Unafiki haukupendezi kama Msemaji wa Serikali na Msomi ( Mwanazuoni ) ulivyo.
Sasa kama hata hujui kuwa huyo ndio katibu mkuu wa wizara ya habari na michezo , tunakusaidiaje, insha ndefu!!!sasa haji manara unaona kweli anachokifanya ni majukumu ya msemaji wa timu?!!kwanza kutokana na kauli zake nyingi zenye utata, kusingekuwa na usimba na uyanga angeshafungiwa kwenye soka!!, ila kutokana na mapungufu yake, itaonekana ameonewa!!
 
Hivi simba mna nini? Mbona mna gubu hivyo!!!
Tunaongoza Kundi letu huko CAF CL kwa Alama ( Points ) Saba ( 7 ) mbele ya Klabu Kubwa, Bora na Tajiri ya Al Ahly na Klabu Shindani hasa ya AS Vita Club huku Nyumbani Tanzania tukicheza Viporo vyetu Vinne ( 4 ) tu pia naongoza Ligi Kuu ( VPL ) kwa tofauti ya Alama ( Points ) Saba ( 7 ) mbele ya Timua Timua Makocha Benchi la Ufundi Mabondia FC ( Yanga SC )

Kama una Swali lingine niulize upesi tu.
 
Kumbe kajamaa kanaumiaga kakckia "Semaji la Taifa" el bughatti
Fame ya sasa ya Msemaji wa Simba SC Haji Manara inamtesa na Kumnyima raha Msemaji wa Serikali Dkt. Hassan Abbas. Na hampendi ile mbaya Haji Manara kwakuwa Yeye ( Dkt. Abbas ) ni mwana Yanga SC lia lia kama siyo kindakindaki kabisa.
 
Back
Top Bottom