Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,906
- 10,390
Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali amesema haya...
Rais ametoa uhuru wa kujieleza, kila mmoja anaweza kujieleza lakini Mheshimiwa Rais hajaruhusu watu walete mtafaruku kwenye nchi,mgongano kwenye Nchi, Sio kwamba hatujuwi wanachokifanya, bahati mbaya sana watu wameingiza maslahi yao, wanajitahidi kupotosha, tena baadhi yao tunawafahamu, ni wajuzi wa sheria, na wanajuwa wazi wanachokisema wanakipotosha...".
Uwekezaji huu wa DP WORLD kuna watu unawagusa,kuna watu hawataki Uwekezaji huu kwa sababu udhaifu huo uliopo Bandarini kwa sasa unawapa faida, watu wanapitisha mizigo bila kulipa kodi, watu hawa ndio wanapinga Uwekezaji huu kwa sababu watadhibitiwa kuiba
Rais ametoa uhuru wa kujieleza, kila mmoja anaweza kujieleza lakini Mheshimiwa Rais hajaruhusu watu walete mtafaruku kwenye nchi,mgongano kwenye Nchi, Sio kwamba hatujuwi wanachokifanya, bahati mbaya sana watu wameingiza maslahi yao, wanajitahidi kupotosha, tena baadhi yao tunawafahamu, ni wajuzi wa sheria, na wanajuwa wazi wanachokisema wanakipotosha...".
Uwekezaji huu wa DP WORLD kuna watu unawagusa,kuna watu hawataki Uwekezaji huu kwa sababu udhaifu huo uliopo Bandarini kwa sasa unawapa faida, watu wanapitisha mizigo bila kulipa kodi, watu hawa ndio wanapinga Uwekezaji huu kwa sababu watadhibitiwa kuiba