Msemaji Mkuu wa Serikali: Rais ametoa UHURU wa KUJIELEZA lakini hajaruhusu watu walete mtafaruku na mgongano kwenye nchini

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali amesema haya...

Rais ametoa uhuru wa kujieleza, kila mmoja anaweza kujieleza lakini Mheshimiwa Rais hajaruhusu watu walete mtafaruku kwenye nchi,mgongano kwenye Nchi, Sio kwamba hatujuwi wanachokifanya, bahati mbaya sana watu wameingiza maslahi yao, wanajitahidi kupotosha, tena baadhi yao tunawafahamu, ni wajuzi wa sheria, na wanajuwa wazi wanachokisema wanakipotosha...".

Uwekezaji huu wa DP WORLD kuna watu unawagusa,kuna watu hawataki Uwekezaji huu kwa sababu udhaifu huo uliopo Bandarini kwa sasa unawapa faida, watu wanapitisha mizigo bila kulipa kodi, watu hawa ndio wanapinga Uwekezaji huu kwa sababu watadhibitiwa kuiba
 
Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali amesema haya...

Rais ametoa uhuru wa kujieleza, kila mmoja anaweza kujieleza lakini Mheshimiwa Rais hajaruhusu watu walete mtafaruku kwenye nchi,mgongano kwenye Nchi, Sio kwamba hatujuwi wanachokifanya, bahati mbaya sana watu wameingiza maslahi yao, wanajitahidi kupotosha, tena baadhi yao tunawafahamu, ni wajuzi wa sheria, na wanajuwa wazi wanachokisema wanakipotosha...".

Uwekezaji huu wa DP WORLD kuna watu unawagusa,kuna watu hawataki Uwekezaji huu kwa sababu udhaifu huo uliopo Bandarini kwa sasa unawapa faida, watu wanapitisha mizigo bila kulipa kodi, watu hawa ndio wanapinga Uwekezaji huu kwa sababu watadhibitiwa kuiba
Mi nlidhani Uhuru wa kutoa maoni na kujieleza umeanishwa kwenye katiba...kumbe ni kwa udhamini mkubwa wa Mama. Basi sawa.
 
Msigwa na Samia wote ni wajinga wanaozidisha huo wanaouita mgongano.

Samia licha ya kuruhusu watu wakosoe lakini amegoma kuwajibu, au anapojibu anatoa majibu ya dharau, hii maana yake Samia nae hajielewi, ukiruhusu watu wakosoe, kuwa tayari kuwajibu kwa staha, lakini kinyume chake utavuna unachopanda.

Msigwa ni mpuuzi kwa kusema wanaolalamikia mkataba wa bandari waliopewa waarabu milele ni wale waliokuwa wakivuna kule bandarini, kwamba hii nchi licha ya kuwa na jeshi la polisi, TAKUKURU, na mahakama, lakini hizo idara zote ni wajinga, zilizozidiwa ujanja na wajanja waliokuwa wakiiba bandarini!.
 
Amesema rais ndiye aliyetoa uhuru wa kujieleza??
😂😂😂😂😂😆😆Muulize Lucas Mwashambwa.

Huyo Gerson Msigwa si mpaka alivyokurupushwa kutia neno ndie akaja?

...hata hivyo matamshi kama hayo ni yake ni ya ajabu na kustaabisha haswa Ati
Rais ametoa uhuru wa kujieleza, kila mmoja anaweza kujieleza lakini
😇😇😇😇🧐

Sasa naanza kuwaamini wale wanaosema Katiba inatelekezwa badala ya kutekeleza yaliyomo kwenye Katiba yetu.
 
Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali amesema haya...

Rais ametoa uhuru wa kujieleza, kila mmoja anaweza kujieleza lakini Mheshimiwa Rais hajaruhusu watu walete mtafaruku kwenye nchi,mgongano kwenye Nchi, Sio kwamba hatujuwi wanachokifanya, bahati mbaya sana watu wameingiza maslahi yao, wanajitahidi kupotosha, tena baadhi yao tunawafahamu, ni wajuzi wa sheria, na wanajuwa wazi wanachokisema wanakipotosha...".

Uwekezaji huu wa DP WORLD kuna watu unawagusa,kuna watu hawataki Uwekezaji huu kwa sababu udhaifu huo uliopo Bandarini kwa sasa unawapa faida, watu wanapitisha mizigo bila kulipa kodi, watu hawa ndio wanapinga Uwekezaji huu kwa sababu watadhibitiwa kuiba
Raisi "ametoa uhuru wa kuzungumza"!!!
What is this,amekuwa Mungu?hii ni universal light,hatupewi na mtu,
Acha ujinga we kenge
 
Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali amesema haya...

Rais ametoa uhuru wa kujieleza, kila mmoja anaweza kujieleza lakini Mheshimiwa Rais hajaruhusu watu walete mtafaruku kwenye nchi,mgongano kwenye Nchi, Sio kwamba hatujuwi wanachokifanya, bahati mbaya sana watu wameingiza maslahi yao, wanajitahidi kupotosha, tena baadhi yao tunawafahamu, ni wajuzi wa sheria, na wanajuwa wazi wanachokisema wanakipotosha...".

Uwekezaji huu wa DP WORLD kuna watu unawagusa,kuna watu hawataki Uwekezaji huu kwa sababu udhaifu huo uliopo Bandarini kwa sasa unawapa faida, watu wanapitisha mizigo bila kulipa kodi, watu hawa ndio wanapinga Uwekezaji huu kwa sababu watadhibitiwa kuiba
Watanganyika hatuna tatizo na muwekezaji!!

Tunachotaka kujua ni;

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali amesema haya...

Rais ametoa uhuru wa kujieleza, kila mmoja anaweza kujieleza lakini Mheshimiwa Rais hajaruhusu watu walete mtafaruku kwenye nchi,mgongano kwenye Nchi, Sio kwamba hatujuwi wanachokifanya, bahati mbaya sana watu wameingiza maslahi yao, wanajitahidi kupotosha, tena baadhi yao tunawafahamu, ni wajuzi wa sheria, na wanajuwa wazi wanachokisema wanakipotosha...".

Uwekezaji huu wa DP WORLD kuna watu unawagusa,kuna watu hawataki Uwekezaji huu kwa sababu udhaifu huo uliopo Bandarini kwa sasa unawapa faida, watu wanapitisha mizigo bila kulipa kodi, watu hawa ndio wanapinga Uwekezaji huu kwa sababu watadhibitiwa kuiba
Kwanini msiwakamate wasio lipa kodi? Magufuli aliweza, nyie mnashindwa nini?
 
Kama serikali inajua kuna watu wanapitisha bure mizigo bandarini kwa nini wasiwachukulie hatua? Excuses zingine ni za kijinga.

Hebu wajibu hoja

1. Ukomo
2. Kuruhusu bandari za bara tu na siyo za Zanzibar
3. Kuwalipia eneo pindi wakilihitaji eneo lolote hata kama ni hapo Kariakoo serikali ilipe maghorofa.
4. Faida tutakayoipata

5. Tumeuza kwa shs ngapi?
6...
 
Msigwa na Samia wote ni wajinga wanaozidisha huo wanaouita mgongano.

Samia licha ya kuruhusu watu wakosoe lakini amegoma kuwajibu, au anapojibu anatoa majibu ya dharau, hii maana yake Samia nae hajielewi, ukiruhusu watu wakosoe, kuwa tayari kuwajibu kwa staha, lakini kinyume chake utavuna unachopanda.

Msigwa ni mpuuzi kwa kusema wanaolalamikia mkataba wa bandari waliopewa waarabu milele ni wale waliokuwa wakivuna kule bandarini, kwamba hii nchi licha ya kuwa na jeshi la polisi, TAKUKURU, na mahakama, lakini hizo idara zote ni wajinga, zilizozidiwa ujanja na wajanja waliokuwa wakiiba bandarini!.
Hivi una hata muda wa japo kutabasam tu!
Mana bandari imekufanya kuwa stressed utadhani unahusika nayo
 
Watanganyika hatuna tatizo na muwekezaji!!

Tunachotaka kujua ni;

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Endelea kusubiri kujua hayo maswali yako
 
Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali amesema haya...

Rais ametoa uhuru wa kujieleza, kila mmoja anaweza kujieleza lakini Mheshimiwa Rais hajaruhusu watu walete mtafaruku kwenye nchi,mgongano kwenye Nchi, Sio kwamba hatujuwi wanachokifanya, bahati mbaya sana watu wameingiza maslahi yao, wanajitahidi kupotosha, tena baadhi yao tunawafahamu, ni wajuzi wa sheria, na wanajuwa wazi wanachokisema wanakipotosha...".

Uwekezaji huu wa DP WORLD kuna watu unawagusa,kuna watu hawataki Uwekezaji huu kwa sababu udhaifu huo uliopo Bandarini kwa sasa unawapa faida, watu wanapitisha mizigo bila kulipa kodi, watu hawa ndio wanapinga Uwekezaji huu kwa sababu watadhibitiwa kuiba
CCM ujinga utawaua. Wanaongea mambo Ambayo hayaeleweki
 
Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali amesema haya...

Rais ametoa uhuru wa kujieleza, kila mmoja anaweza kujieleza lakini Mheshimiwa Rais hajaruhusu watu walete mtafaruku kwenye nchi,mgongano kwenye Nchi, Sio kwamba hatujuwi wanachokifanya, bahati mbaya sana watu wameingiza maslahi yao, wanajitahidi kupotosha, tena baadhi yao tunawafahamu, ni wajuzi wa sheria, na wanajuwa wazi wanachokisema wanakipotosha...".

Uwekezaji huu wa DP WORLD kuna watu unawagusa,kuna watu hawataki Uwekezaji huu kwa sababu udhaifu huo uliopo Bandarini kwa sasa unawapa faida, watu wanapitisha mizigo bila kulipa kodi, watu hawa ndio wanapinga Uwekezaji huu kwa sababu watadhibitiwa kuiba
Uhuru karuhusu rais Samia?
Sio katiba ndio imeruhusu?
Acheni ungese
 
Back
Top Bottom