Rais Samia amerejesha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni bila woga

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.

Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari.

Baada ya mijadala mingi, ikiwemo ya kujenga, kukosoa, kupotosha, kuelimisha, kufundisha mimi nimetoka na jambo moja kubwa sana.

Baada ya kupitishwa kwenye tanuru la moto na kuminywa kwa wale wote waliokuwa wakiikosoa na kuisema serikali wakati wa awamu ya mwendazake, hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameirudisha nchi katika mstari ambao watanzania wanaweza kutoa maoni bila woga wa kutekwa wala kupotea,

Rais Samia amerudisha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni nchini, ambapo leo kupitia bunge live ambalo aliridhia kurejeshwa kwake tumeshuhudia mjadala wa wazi wenye kujenga na kusimamia maslahi ya taifa.


Ndugu zangu wanajamvi, kwa hili Rais Samia tumpe maua yake ya kutosha:
 
Ni upumbavu kujadili kitu ambacho maamuzi yake yameshafanyika, ni sawa sawa na kufedhehesha akili za wadanganyika. Wapuuzi wengi hapo bungeni leo wanakula posho ya bure.
 
Ni upumbavu kujadili kitu ambacho maamuzi yake yameshafanyika, ni sawa sawa na kufedhehesha akili za wadanganyika. Wapuuzi wengi hapo bungeni leo wanakula posho ya bure.
Maamuzi gani yameshafanyika, acha kukurupuka kama huelewi jambo kaa tu kimya, binadamu usiyeridhika wewe
 
Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.

Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari.

Baada ya mijadala mingi, ikiwemo ya kujenga, kukosoa, kupotosha, kuelimisha, kufundisha mimi nimetoka na jambo moja kubwa sana.

Baada ya kupitishwa kwenye tanuru la moto na kuminywa kwa wale wote waliokuwa wakiikosoa na kuisema serikali wakati wa awamu ya mwendazake, hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameirudisha nchi katika mstari ambao watanzania wanaweza kutoa maoni bila woga wa kutekwa wala kupotea,

Rais Samia amerudisha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni nchini, ambapo leo kupitia bunge live ambalo aliridhia kurejeshwa kwake tumeshuhudia mjadala wa wazi wenye kujenga na kusimamia maslahi ya taifa.


Ndugu zangu wanajamvi, kwa hili Rais Samia tumpe maua yake ya kutosha:
Kutoa maoni ni jambo jingine na Kusikilizwa ni jambo jingine.Je amesikiliza malalamiko ya Watanzania?
 
Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.

Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari.

Baada ya mijadala mingi, ikiwemo ya kujenga, kukosoa, kupotosha, kuelimisha, kufundisha mimi nimetoka na jambo moja kubwa sana.

Baada ya kupitishwa kwenye tanuru la moto na kuminywa kwa wale wote waliokuwa wakiikosoa na kuisema serikali wakati wa awamu ya mwendazake, hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameirudisha nchi katika mstari ambao watanzania wanaweza kutoa maoni bila woga wa kutekwa wala kupotea,

Rais Samia amerudisha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni nchini, ambapo leo kupitia bunge live ambalo aliridhia kurejeshwa kwake tumeshuhudia mjadala wa wazi wenye kujenga na kusimamia maslahi
Tatizo waTanzania wengi wanaponzwa na kutokufuatilia mambo, na kuamini kwa haraka maneno ya wapinga serikali. Kwa majadiliano ya bunge leo hii, ni mwendawazimu pekee ambaye atabaki na hofu juu ya uwekezai mkubwa ambao serikali ya awamu ya sita inaenda kuuweja bandarini ikishurikiana na serikali ya Dubai. Katika karne hii, ni ngumu sana kwa serikali kuendesha na kusimamia kila kitu. Ndio maana hata mataifa yaliyoendelea yanatumia wawekezaji katika miradi yao. Hongera kwa serikali.
 
Mjadala ulikuwa wazi kweli ni kitu kizuri, ila mjadala hakuwa fair kwa wanao ujadili hasa waliokuwa na hoja kinzani na mkataba hawakupewa mda wa kuwasilisha hoja zao ,zaidi ya kukatishwa katishwa kila mara,mfano Mdee alitolewa kwenye reli kabisa,yaani mdee kachangia dk 2 tu,dk zilizobaki ni spika kugeuka kuwa wakili upande wa mkataba na baadhi ya wabunge wenzake kumkatisha.

Hata ile maana ya uhuru wa kutoa maoni,bila kujali upo upande gani,naona kama haikuwepo. Muache mtu afunguke mwanzo mwisho then, kama kumkosoa basi subiri mwisho utamkosoa,huku ukimpa nafasi ya kujibu hizo hoja za kukosoa kwa maana inawezekana anaye kosoa nae hasiwe sawa.

Kweli mjadala ulikuwa wa wazi ila kulikuwa hamna uhuru kamili wa kujieleza.
 
Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.

Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari.

Baada ya mijadala mingi, ikiwemo ya kujenga, kukosoa, kupotosha, kuelimisha, kufundisha mimi nimetoka na jambo moja kubwa sana.

Baada ya kupitishwa kwenye tanuru la moto na kuminywa kwa wale wote waliokuwa wakiikosoa na kuisema serikali wakati wa awamu ya mwendazake, hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameirudisha nchi katika mstari ambao watanzania wanaweza kutoa maoni bila woga wa kutekwa wala kupotea,

Rais Samia amerudisha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni nchini, ambapo leo kupitia bunge live ambalo aliridhia kurejeshwa kwake tumeshuhudia mjadala wa wazi wenye kujenga na kusimamia maslahi ya taifa.


Ndugu zangu wanajamvi, kwa hili Rais Samia tumpe maua yake ya kutosha:
Kwani huko uhuru aliundoa Tundu Lissu wa Chadema
 
Hii ndio hulka ya waislam kusikiza, kuthamini na kujali wananchi sio wale wa upande uleee, ukipinga tu kama hujazushiwa kesi unapotezwa mazima
Hongera sana
#MAMAWATAIFA
Kuuza nchi kwa Waarabu kwa sababu ya uvivu wa kufikiri na kutenda kuna uzuri wowote au manufaa yoyote kwa nchi kizazi hiki na kijacho?
 
Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.

Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari.

Baada ya mijadala mingi, ikiwemo ya kujenga, kukosoa, kupotosha, kuelimisha, kufundisha mimi nimetoka na jambo moja kubwa sana.

Baada ya kupitishwa kwenye tanuru la moto na kuminywa kwa wale wote waliokuwa wakiikosoa na kuisema serikali wakati wa awamu ya mwendazake, hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameirudisha nchi katika mstari ambao watanzania wanaweza kutoa maoni bila woga wa kutekwa wala kupotea,

Rais Samia amerudisha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni nchini, ambapo leo kupitia bunge live ambalo aliridhia kurejeshwa kwake tumeshuhudia mjadala wa wazi wenye kujenga na kusimamia maslahi ya taifa.


Ndugu zangu wanajamvi, kwa hili Rais Samia tumpe maua yake ya kutosha:
Mama anastaili pongezi kwa kurudisha uhuru wa kujieleza na kutoa mwanya wa kutoa maoni nchini ambapo hapo awali hatukupata fursa hiyo ya kuona mambo yakijadiliwa kwa uhuru hasa kwenye bunge letu tukufu now tunaona bunge likienda live bila chenga....Hongera sana Mhe. Rais Samia
 
Lakini kila mwenzenu akiwa madarakani nchi inapoteza dira
Sio kweli, ni propaganda tu, na siku ikitokea mkapata nafasi hamtakaa mtoke yaani mnaumia sana ikiwa zamu ya muislam kutawala, mnazusha na kuzusha kila aina ya fitna ila akiwa wenu basi hata awe chizi nyie mnapongeza tu,

Mfano 2015 na 2020 nani aliinua mdomo kupinga na kusema yale maovu,
95 -015 nani alikemea ubinafsishaji kutoka kwa muasisi wa ubinafsishaji

Tangu tupate uhuru mpaka 85 nani alithubutu kusema pamoja na jehanamu yote tuliyopitia? Au ulikua hujazaliwa? Acha tu
 
Back
Top Bottom