NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Hongeraa.
Hapo kwenye bold naomba nikusahihishe kwamba mnatoa elfu 53 cash na siyo laki moja. kama umepewa na receipt basi ada itakuwa imepanda.
sisi wa mwanzo tulilipa alfu 35, waliokuja awamu ya pili wanalipa hizo alfu 53.
Kama kuna msanii, mwanamichezo na Mwanahabari achangamkie hiyo ishu maana kuna wajanja wameshakula sana vichwa kwa kuwalipisha malaki kibao ilihali bei ni chee. Ukilipa zaidi ya elfu 53 nitumie PM nitakuelekeza cha kufanya ili urudishiwe chenji yako.
Viwanja hivi ni juhudi za viongozi wa SHIWATA na siyo maono ya serikali, tuliifuata serikali baada ya kuanza kutekeleza habari hii. Ingawa baadhi ya viongozi serikalini wanaipiga vita hii programu lakini tunajitahidi kukubalika na kufuata taratibu muktadha ili kupata viwanja zaidi.
(nadeclare interest------ mimi nimo ktk mradi huu)
Hii ishu ya viwanja haiusiani na kampeni za Kikwete.
Nenda pale SHIWATA ukasome katiba na malengo ya shirikisho ndipo utafunguka kwamba hakuna smaslahi ya kisiasa kwenye mradi wa viwanja.
Mzee umeanza wazimu wa kukurupukia hoja.
umebalansi story?
nimewapigia viongozi wa SHIWATA wamefafanua na hata kwenye clouds (walioshikia debe negatively) wameelewa na kusuport hatua zilizochukuliwa.
Mimi ni sehemu ya uongozi wa sanaa, huwa nafguatilia kwa karibu sana ishu zote za sanaa zipitazo mbele yangu.
Wasanii hawajatapeliwa pesa zao.
Msanii heshima mbele nakuomba kwa heshima na taathima ufafanue kwa vipi hatujatapeliwa na ilihali umemsikia hata mkuu wa wila ya mkuranga na wenyeviti wa mtaa wakikanusha maeneo ya wazi eneo la mkuranga? wanadai yaliyoko yamejaa na sisi hela zetu tayari mmekula?