Mzee umeanza wazimu wa kukurupukia hoja.
umebalansi story?
nimewapigia viongozi wa SHIWATA wamefafanua na hata kwenye clouds (walioshikia debe negatively) wameelewa na kusuport hatua zilizochukuliwa.
Mimi ni sehemu ya uongozi wa sanaa, huwa nafguatilia kwa karibu sana ishu zote za sanaa zipitazo mbele yangu.
huyo mkuu wa wilaya mbona hapaki kwenye point ,hataki maendeleo kisarawe?
eti kijiji hakiwezi kuwa ndani ya kjiji ,ita kitongoji huu cares what the name is!!
Kwa nini anasema mwenyekiti wa wasanii ame laghai viongozi wa kijiji? walioelewa undani mtujuvye pls.
Kwa sasa makazi yameshagawiwa kwa wasanii huko mkuranga.
Kule kisarawe taratibu zote zilifuatwa, ila mwishoni mkuu wa wilaya akageuka na kudai wasanii ni matapeli. ila ukweli ni kwamba kuna ardhi kubwa ya kijiji imeuzwa kinyemela kwa mwekezaji, hivyo ujio wa wasanii na wanahabari huko ikawa ni tishio kwa uongozi wa wilaya. hivyo juhudi zimefanyika kubatilisha uhalali wa wasanii kujiunga na kijiji cha visegese. Kuna wananchi walijitolea sehemu zao wanazomiliki kwa wasanii lakini mkuu wa wilaya amesema kwamba hawana haki ya kuja visegese. na kibaya zaidi hataki hata kuonana na viongozi wa wasanii kwani hata walipomtembelea ofisini aliwatolea lugha chafu na kuwatimua.
Kuna mavundo mengi sana nchi hii ila sisi tunayaona ya mijini na ofisi kubwa kubwa tu. huko chini ni jehanamu tupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.