Msanii Soggy Doggy ajiunga CHADEMA

Msanii Soggy Doggy ajiunga CHADEMA

mmmmmhh hongera lakini kidogo sijafuraishwa na kujitangaza direct kua unataka upambane na mgombea wa ccm.... chadema kama chama pia kina procedure zake nadhan utangaze tu nia uombe ridhaa ya kupitishwa kwanza.... kwan si kila anayejiunga chadema basi ana tiketi ya moja kwa moja ya kugombea ubunge na ungefanya la maaan kwa kuweka cv yako pia!!!
 
Asante kamanda vile umeona mauji ya cccccccmmmm yamekuchosha karibu nyumbani
 
Kweli chama kinaelekea kaburini, soon kitakuwa kikundi cha HIPHOP just wait!!

Watu wasiojulikana wamechoma moto jengo la ofisi ya Chama cha Mapinduzi wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma tukio lililotokea Juni 21 mwaka huu majira ya usiku pamoja mlinzi wa ofisi hizo kuwepo katika eneo hilo la ofisi mpaka majira ya saa 12 asubhi na hakuweza kutambua kutokea kwa kitendo hicho kilichofanywa na watu wasiojulikana usiku huo.
 
Mkuu karibu kwenye chama makini ila ubunge ungesubiri kidogo
 
Hivi ndivyo alivyo funguka Twitter na Facebook

"Shikamoo Mbunge wa Segerea Bwana Makongoro Mahanga,imetosha sasa nadhani ni zamu yangu kuwatumikia wana-Segerea 2015 kupitia CHADEMA"
View attachment 99314

Watanzania tuwe makini la si hivyo bunge letu litakuwa sehemu ya kucheza disco,Mwenyekiti anamiliki kumbi za disco wafaasi wake waimba nyimbo za disco .......mmmh
 
Watanzania tuwe makini la si hivyo bunge letu litakuwa sehemu ya kucheza disco,Mwenyekiti anamiliki kumbi za disco wafaasi wake waimba nyimbo za disco .......mmmh

Tusipokua makini ata hawa TEMBO na TWIGA wataisha maana kuna mabilioni ya USWIZ
 
Vinega wote bungeni mwaka 2015, chama cha vinega.
 
hivi mtu akijiunga CDM halafu asitangaze kugombea ubunge anakuwa si mpamabanaji? tunawakaribisha CDM lakini sio lazima kutangaza kugombea ubunge, NIN WASIWASI NA SOGGY, HIVI HAJUI KWAMBA VIKAO VYA CHAMA NDIO VINAPITISHA WAGOMBEA? asipopitishwa kugombea segerea na cdm je bado ataendelea kuwa cdm? au ndio wanachama maslahi!
 
Back
Top Bottom