Msanii Soggy Doggy ajiunga CHADEMA

Msanii Soggy Doggy ajiunga CHADEMA

Anayeongoza hilo jimbo ni mwizi wa kura hakuna mfano wake hapa tz!km hautaki kamuulizen mpendazoe.Km hatagombea hakuna shida but akigombea tu cdm watafute majimbo mengine
 
Amekimbilia huko kwa lengo la Kutaka Ubunge tu?
Hakika hiko chama ni majanga......lakini huyu kafukuzwa Radio Uhuru ambayo mmiliki wake ni CCM!
atakimbilia wapi kwingine? CHADEMA peke yake ndio inaokoteza ilimradi jamaa aliwika miaka fulani.
 
Baada ya kufulia kwenye music wanakimbilia kwenye siasa.

Watu walifulia kwenye FAT hadi kufungwa na sasa ni wana siasa! Unaona haya ni maajabu kuliko ya yule Al-Shaabab ambaye CCM inamuona ni Jembe wakati ni MUNGWA anaye tamba bungeni!!

Kweli CCM kazi wanayo!
 
Kijana apokelewe kama wengine awe mwanachama habari ye kugombea tuwaachie wapiga kura. Nadhani kuhusu Makongoro ilikua ni kibwagizo tu kwani weredi, uzalendo na mapenzi kwa chama ndivyo vitatumika kuwapima watakaojitokeza kugombea kupitia chama
 
Kijana apokelewe kama wengine awe mwanachama habari ye kugombea tuwaachie wapiga kura. Nadhani kuhusu Makongoro ilikua ni kibwagizo tu kwani weredi, uzalendo na mapenzi kwa chama ndivyo vitatumika kuwapima watakaojitokeza kugombea kupitia chama

Yaani akiingia mwanachama mpya tu basi anapewa na vyeo na jimbo duu kweli Chamdomo hamjuwi kupembua pumba na mchele. Nani natangaza kugombea Iramba magharibi nibishane na Mkumbo nokaribisheni mwishowe niwaache gizani. Msipoangalia chaguzi zenu za ndani basi 90 % watakuwa toka CCM maana mnababaikia sana watu
 
Back
Top Bottom