Msanii Soggy Doggy ajiunga CHADEMA

Msanii Soggy Doggy ajiunga CHADEMA

Ndani ya CHADEMA kubalika na wanachama tu utapata uongozi awaangilii baba ana pesa kiasi gani au mama yako suala ni kuajibika kwa wananchi mambo ya kununua uongozi waachie CCM. NAKUPA KAZI ZA KUFANYA UKIWA MBUNGE WA SEGEREA VUNJA NYANTARE BAR PAMOJA NA ILE SHELI NI SEHEMU YA SOKO MAKANGORO ALIJIMILIKISHA ENEO LILE NI OPEN SPACE alafu n:heh:yumba ya makongoro pale segerea ni sehemu ya soko vunja.
 
Yani kuingia tu na kujitwalia jimbo!Huko Segerea wapo wengi kweli Matola
Sina kadi ya Chadema ila harakati zangu ni zaidi ya Mwanachama, hawa wanaoota Ubunge Sugu ndio anawaponza, hawajui tofauti kubwa kati yao na Sugu.

Segerea si jimbo la kujifunzia uongozi, wala hatuna masihara katika hili, ajaribu udiwani katika kata anayoishi.
 
Tutafika tu maana najua watabaaaaana sana lkn tutafika tu.

Kamanda kaza buti...................
 
Cc mwigulu nchemba

HATA SIMPENDI KABISA, OOOOOVYOOOOO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

MCHOCHEZI, MNAFIKI na ANATUMIKA KWA UJINGA KILA KUKICHA, FAIDA YAKE YAJA.... SI KILA SIKU TUTAVUMILIA UJINGA..
 
Hivi ndivyo alivyo funguka Twitter na Facebook

"Shikamoo Mbunge wa Segerea Bwana Makongoro Mahanga,imetosha sasa nadhani ni zamu yangu kuwatumikia wana-Segerea 2015 kupitia CHADEMA"
View attachment 99314

Daaagh....yani kajiunga leo mwakani anataka kuchukua jimbo???....huu ni uhuni sasa tunaelekea kuongoza na vipofu
 
Baada ya kufulia kwenye music wanakimbilia kwenye siasa.
Nina imani hukuitathimini kauli yako hii....maana hata mchumi namba moja ambaye mmempa unaibu katibu mkuu wa tawala naye alikuwa amefulia ?
 
Inashangaza sana huyu jamaa kajiunga jana Chadema anataka apewe nafasi ya ubunge, wakati kina Mohamedi Mtoi, kila siku wanatumika lakini hata kiongozi wa kata ajapewa huko Bumbuli.

CC; chama,
Na wewe bwana ritz unavotumika na ccm umepewa kata ipi au umeahidiwa kugombea wapi kwa kuwatumikaia hao ccm? Hebu tupashe!
 
Sasa kilichompeleka cdm ni ubunge au mapenzi?mbona moja kwa moja kafata kadi nakutangaza kugombea ubunge?
 
Sikujua kama mdogo wangu Soggy anaweza kuteka mitandao ya kijamii leo namna hii. CCM bwana, kunya anye Kuku akinya bata....
 
Kibanda cha simu,marafiki nao mimoshi ya sigara asubuhi mpaka jioni.
 
Back
Top Bottom