Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Msanii Idris Sultan amefika Kituo cha Kikuu cha Polisi (Central) muda wa saa 5 asubuhi kuitikia wito wa Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda
Anaendelea kushikiliwa kituoni kwa mahojiano, Inadaiwa anahojiwa kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, kifungu cha 15 na 16
UPDATE:
Polisi wameelekea nyumbani kwa Idris kwa upekuzi
Wakili wake, Ben Ishabakaki ameithibitishia JamiiForums kuwa ni kweli Idris anashikiliwa na sasa Polisi wameelekea nyumbani kwake Mbezi jijini Dar kufanya upekuzi
UPDATE
Msanii Idris Sultan amepata dhamana ya Polisi
Ametakiwa kuripoti kituoni kesho saa 2 asubuhi
Anaendelea kushikiliwa kituoni kwa mahojiano, Inadaiwa anahojiwa kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, kifungu cha 15 na 16
UPDATE:
Polisi wameelekea nyumbani kwa Idris kwa upekuzi
Wakili wake, Ben Ishabakaki ameithibitishia JamiiForums kuwa ni kweli Idris anashikiliwa na sasa Polisi wameelekea nyumbani kwake Mbezi jijini Dar kufanya upekuzi
UPDATE
Msanii Idris Sultan amepata dhamana ya Polisi
Ametakiwa kuripoti kituoni kesho saa 2 asubuhi