General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,186
Mbona anatuulia watu wetu?
Kwa roho hii we lazima utakuwa member wa al shabab!Huenda alitaka kujitoa muhanga kumdhuru Rais! Gari ni silaha inayotembea, kihere here chake ndicho kimemponza. Hata hivyo nchi ina watu milioni 56 waliobaki na wengine wanaendelea kuzaliwa kila siku. Kila mtu awe responsible na maisha na usalalma wake!
Musundi kwa iyo ili jamaa litakuwa jini eehSiamini hii ni kauli ya kiumbe mwenye roho na nyama! Labda jini ndilo haliwezi kuguswa na tukio la kifo cha mtu!
Yawezekana marehemu alikuwa kiziwi au mawazo mengi. Si unajua maisha yanavyopelekesha?
Vv
Wewe jamaa.......Huenda alitaka kujitoa muhanga kumdhuru Rais! Gari ni silaha inayotembea, kihere here chake ndicho kimemponza. Hata hivyo nchi ina watu milioni 56 waliobaki na wengine wanaendelea kuzaliwa kila siku. Kila mtu awe responsible na maisha na usalalma wake!
apigee pichaaa angeisomaa...Weka kapicha basi...!!!
Ila kumbuka njiani kuna vichaa watoto walemavu nk ambao hawajui sheria hiyo so drivers always take care
Namba ya Tshishimbi....mutu ya kazi..Ni Sheria no ngapi iyo?
Pole kwa ndugu na jamaa.1. Kagongewa MBELE KABISA YA JENGO LA CCM.
2. Kagongwa barabarani. Alitaka kuvuka.
3. Kilichofanyika baada ya ajali ni kumfunika na kupeleka mochwari. Msafara hauwezi kusimama kiusalama zaidi.
4. Siwezi kupiga picha maiti mkuu. Hta hvy kila mmoja alibaki anashangaa kwa kilichotokea.
Ameweka siasa ipi tena?Msiba wetu sote kwanini unaweka siasa? Rip marehemu