Msafara wa Rais Magufuli wagonga mtu Dodoma

Msafara wa Rais Magufuli wagonga mtu Dodoma

Pole kwa wafiwa ila tujifunze kuheshimu hii misafara haswa bodaboda huwa wanatabia yakukatiza wakati amri ishaatoka wasiingie barabarani
 
Dar wao walipelekwa chuo kusomea course ya kukabiliana na misafara ya viongozi? Kwa taarifa yako hakuna mkoa wenye high tendency of government motorcade kama Dodoma
km ni high tendency of government motorcade kama Dodoma mtu atagongwaje mm biashara zangu ni hapo mtendeni haipiti mita 5 mpaka kwa Fortis au CCM makao makuu
yaani ni vurugu tupu, misafara ni zaidi ya 10. kuanzia Makamu, Waziri Mkuu, Rais Zanzibar, Makamu Zanzibar, wastaafu Urais wa3 hiyo Kuu Street ilikuwa hakuna kukatiza sasa mtu kagongwa katokea wapi?
Mzee wa hat-trick hakuna kiumbe aliyegongwa, hapa naelekea Motuary
Rais JPM hawezi gonga mtu asisimame eti akatusimamishe uwanjani Jamuhuri dk 1 kwa ajili ya askari wety DRC amsahau huyo wa barabarani ni laizma angemtaja
TUPUNGUZE JAZBA HAKUNA AJALI
 
Huenda alitaka kujitoa muhanga kumdhuru Rais! Gari ni silaha inayotembea, kihere here chake ndicho kimemponza. Hata hivyo nchi ina watu milioni 56 waliobaki na wengine wanaendelea kuzaliwa kila siku. Kila mtu awe responsible na maisha na usalalma wake!
Ulichokiandika hebu rudia tena usome
Huwezi ukasema mtu fulani hata akifa Hana faida
Wewe ni mtu wa ajabu kabisa

Ova
 
Muda si mrefu uliopita, msafara wa Mheshimiwa Rais kuelekea Uwanja wa Jamhuri Dodoma kwa ajili ya maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru, umegonga mtu, na kufariki papo hapo.

Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali panapostahili.
Hakujua kama kuna msafara au na yeye ni miongoni mwa wana usalama?
 
Huenda alitaka kujitoa muhanga kumdhuru Rais! Gari ni silaha inayotembea, kihere here chake ndicho kimemponza. Hata hivyo nchi ina watu milioni 56 waliobaki na wengine wanaendelea kuzaliwa kila siku. Kila mtu awe responsible na maisha na usalalma wake!
Duh
 
1. Kagongewa MBELE KABISA YA JENGO LA CCM.
2. Kagongwa barabarani. Alitaka kuvuka.
3. Kilichofanyika baada ya ajali ni kumfunika na kupeleka mochwari. Msafara hauwezi kusimama kiusalama zaidi.
4. Siwezi kupiga picha maiti mkuu. Hta hvy kila mmoja alibaki anashangaa kwa kilichotokea.
Kafara hiyo! kwa nini iwe leo? kwa nini iwe mbele ya jengo la ccm makao makuu?
 
Msipandikize chuki kwa ajili ya mpuuzi mmoja asiyejua maana ya msafara wa kiongozi!...wangegongwa hata wawili ingekua mada tofauti!
Nani tena huyo kapandikiza chuki?
 
Ndiyo mkuu, hata kumyonyoa kuku aliyekwisha chinjwa siwezi. Moyo wangu una huruma sana...
Siamini kama hayo maneno yametamkwa na mtu asiyeweza hata kumnyonyoa kuku. Ni maneno yamtokayo mtu awezaye kumchinja mwanawe! Anyway, labda ulijisahau tu
 
Nina roho nyepesi sana kiasi kwamba hata siwezi kuchinja kuku... Fact is a fact. Kuingilia msafara wa Rais ni kitendo cha hatari. Uzuri ni kwamba msafara haupiti kimya kimya, kuna ving'ora na kila aina za purukushani. Ni bora mtu akingongwa na Bajaj utaelewa kuwa labda hakuisikia, ila gari za msafara! Huo ni uzembe wa hali ya juu!


Nani kakudanganya sehemu zote Raisi anapitaga speed
 
Nina roho nyepesi sana kiasi kwamba hata siwezi kuchinja kuku... Fact is a fact. Kuingilia msafara wa Rais ni kitendo cha hatari. Uzuri ni kwamba msafara haupiti kimya kimya, kuna ving'ora na kila aina za purukushani. Ni bora mtu akingongwa na Bajaj utaelewa kuwa labda hakuisikia, ila gari za msafara! Huo ni uzembe wa hali ya juu!


Nani kakudanganya sehemu zote Raisi anapitaga speed
 
Nina roho nyepesi sana kiasi kwamba hata siwezi kuchinja kuku... Fact is a fact. Kuingilia msafara wa Rais ni kitendo cha hatari. Uzuri ni kwamba msafara haupiti kimya kimya, kuna ving'ora na kila aina za purukushani. Ni bora mtu akingongwa na Bajaj utaelewa kuwa labda hakuisikia, ila gari za msafara! Huo ni uzembe wa hali ya juu!


Nani kakudanganya sehemu zote Raisi anapitaga speed
 
Back
Top Bottom