Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,393
- Thread starter
- #121
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Pole kwa ndugu na jamaa.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Pole kwa ndugu na jamaa.
hii nayo ni mapungufu kwenye walinzi wa msafara; je jamaa asingekuwa chizi ; labda angekuwa mwenye nia ovu? Jamaa wa ulinzi wa viongozi wasiishie kuvaa suti tu walitakiwa wamwone mapema na kumtoa barabaraniRIP ILA MIMI NILIKUWEKUWEPO HAPO DODOMA KWENYE TUKIO INAONEKANA ALIYE GONGWA ALIKUWA NA UPUNGUFU WA AKILI ALI KOSWA KOSWA GARI MBILI ZA MWISHIO YA TATU NDO IKAMUMALIZIA MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YAKE PEMA PEPONI
Na Ukizingatia ni mwanamke alieingia leba kbsSiamini hii ni kauli ya kiumbe mwenye roho na nyama! Labda jini ndilo haliwezi kuguswa na tukio la kifo cha mtu!
Humu JF kuna robot ngapi? RIP MpitanjiaHuenda alitaka kujitoa muhanga kumdhuru Rais! Gari ni silaha inayotembea, kihere here chake ndicho kimemponza. Hata hivyo nchi ina watu milioni 56 waliobaki na wengine wanaendelea kuzaliwa kila siku. Kila mtu awe responsible na maisha na usalalma wake!