Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,393
Muda si mrefu uliopita, msafara wa Mheshimiwa Rais kuelekea Uwanja wa Jamhuri Dodoma kwa ajili ya maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru, umegonga mtu, na kufariki papo hapo.
Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali panapostahili.
Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali panapostahili.