Msafara wa Rais Magufuli wagonga mtu Dodoma

Msafara wa Rais Magufuli wagonga mtu Dodoma

Huyo Marehemu ni Mhaini achunguzwe zaidi haswa familia yake wajue source na ashukuru amepoteza uhai mana bila ivo angeshtakiwa
 
Muda si mrefu uliopita, msafara wa Mheshimiwa Rais kuelekea Uwanja wa Jamhuri Dodoma kwa ajili ya maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru, umegonga mtu, na kufariki papo hapo.

Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali panapostahili.


Walisimama!! au waliendelea nduki
 
Hata Mwinyi alisimama. Huyu wa sasa ni ..........
Msipandikize chuki kwa ajili ya mpuuzi mmoja asiyejua maana ya msafara wa kiongozi!...wangegongwa hata wawili ingekua mada tofauti!
 
Dah!!r.i.p hivi walisimama baada ya kugonga kweli??
 
Sheria ya msafara wa rais au makamu au Pm huwa anaegongwa ndie anahesabika amegonga hivyo angekua hai huyo mtu angeshatakiwa yeye.....
Ila kumbuka njiani kuna vichaa watoto walemavu nk ambao hawajui sheria hiyo so drivers always take care
 
Huenda alitaka kujitoa muhanga kumdhuru Rais! Gari ni silaha inayotembea, kihere here chake ndicho kimemponza. Hata hivyo nchi ina watu milioni 56 waliobaki na wengine wanaendelea kuzaliwa kila siku. Kila mtu awe responsible na maisha na usalalma wake!
Mkuu na majibu yako ni hatari, kama sikufananishi nahisi kama ndo wewe ulimwona yesu
 
Marehemu kajitakia kifo, kawaida msafara wa Rais hauendi kienyeji, lazima kuwa na tahadhari ikiwa ni pamoja na kuzuia vyombo vingine vya moto na hata watumiaji wengine w barabara... marehemu hakuobey hayo yote.
Mkuu unaongea tu wewe,hujui marehem alikuwa kwenye hali gani,usipende kuhukum kama hvyo aisee...sio poa mkuu...
 
Amegongwa na msafara ...? Mmmh...! Au siku hizi kuna chombo cha moto kinaitwa msafara....?
 
Usiniwekee maneno mdomoni! Huo ndio matazamo wangu. Nenda kasome sheria za traffic act uone. Huyu marehemu angepona angeweza kuhukumiwa kifungo cha maisha kwa kuingilia msafara.
acha porojo watu wameingilia misafara mara kibao na tuko nao uraiani huku. ei kila unaamua kwa sheria vingine ni akili na busara.

Wewe unawaza sheria tu, tungeenda kwa sheria wewe huna haki ya kuwa hai maana ni mzigo kwa jamii.

mtu gani utambui nafasi ya hekima na busara wewe ni mzigo ama john kisomo unakariri tu sheria
 
Marehemu kajitakia kifo, kawaida msafara wa Rais hauendi kienyeji, lazima kuwa na tahadhari ikiwa ni pamoja na kuzuia vyombo vingine vya moto na hata watumiaji wengine w barabara... marehemu hakuobey hayo yote.
Mengine ni utoto
huna hata huruma.
 
Siku zake za kuishi Duniani zimemalizika......Maneno mengi hayana Maana.
 
Muda si mrefu uliopita, msafara wa Mheshimiwa Rais kuelekea Uwanja wa Jamhuri Dodoma kwa ajili ya maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru, umegonga mtu, na kufariki papo hapo.

Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali panapostahili.
Weka picha
 
Back
Top Bottom