labda ndo hile kujaribu kumsimamisha raisi watoe kelo zao.maana hakipita si ana simamishwaMuda si mrefu uliopita, msafara wa Mheshimiwa Rais kuelekea Uwanja wa Jamhuri Dodoma kwa ajili ya maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru, umegonga mtu, na kufariki papo hapo.
Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali panapostahili.
Siamini hii ni kauli ya kiumbe mwenye roho na nyama! Labda jini ndilo haliwezi kuguswa na tukio la kifo cha mtu!Huenda alitaka kujitoa muhanga kumdhuru Rais! Gari ni silaha inayotembea, kihere here chake ndicho kimemponza. Hata hivyo nchi ina watu milioni 56 waliobaki na wengine wanaendelea kuzaliwa kila siku. Kila mtu awe responsible na maisha na usalalma wake!
Yawezekana marehemu alikuwa kiziwi au mawazo mengi. Si unajua maisha yanavyopelekesha?Kwani yeye ving'ora hakuvisikia au alikuwa kiziwi? Anyway RIP
Sheria ya msafara wa rais au makamu au Pm huwa anaegongwa ndie anahesabika amegonga hivyo angekua hai huyo mtu angeshatakiwa yeye.....Aliegonga ashtakiwe Mara moja tena awekwe kwenye kanyampasila
Msiba wetu sote kwanini unaweka siasa? Rip marehemu
Anaweza kuwa mfuasi wa chama kile,kwani wao ndio hujiona mashujaa kupinga kila agizo la serekali. Na huwa ni majasiri wa kiwango cha lami wanapobishana na polisiMarehemu kajitakia kifo, kawaida msafara wa Rais hauendi kienyeji, lazima kuwa na tahadhari ikiwa ni pamoja na kuzuia vyombo vingine vya moto na hata watumiaji wengine w barabara... marehemu hakuobey hayo yote.
Nafsi imemsuta keshatoa yale manenoWapi kaweka siasa!
Hata angewekwa zebra awe anakula majani hapo barabarani, kwenye msafara wa Rais unaweza kuvuka kisa tu hilo eneo ni zebra crossing au ni kutokua makini tu?Kama kagongewa pale mbele ya CCM mkabala na Duka la samaki pembeni kwawapemba wanaouza misosi nyakati za jioni.........
Hapo kosa ni la marehem, sababu hapo kwenye hiyo barabara hakuna zebra zaidi ya zile za karibu na mataa
jf ina watu zaidi ya laki 1, ungeficha upumbavu wako maana wapo wenye michango ya maana na kila siku wanajiunga wapya.Huenda alitaka kujitoa muhanga kumdhuru Rais! Gari ni silaha inayotembea, kihere here chake ndicho kimemponza. Hata hivyo nchi ina watu milioni 56 waliobaki na wengine wanaendelea kuzaliwa kila siku. Kila mtu awe responsible na maisha na usalalma wake!
Kama sio kafara basi ni gunduMuda si mrefu uliopita, msafara wa Mheshimiwa Rais kuelekea Uwanja wa Jamhuri Dodoma kwa ajili ya maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru, umegonga mtu, na kufariki papo hapo.
Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali panapostahili.