sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,237
- 8,992
Kazi gani amepiga??Walianza na kupuliza sumu , sumu ikampapasa Mwenezi, akapigwa na Dalili za Mafua Makali tu ,ila Makonda anaendelea kupiga kazi.
Wameona Sasa watengeneze ajali .
Kazi gani amepiga??Walianza na kupuliza sumu , sumu ikampapasa Mwenezi, akapigwa na Dalili za Mafua Makali tu ,ila Makonda anaendelea kupiga kazi.
Wameona Sasa watengeneze ajali .
Makonda aongezewe ulinzi ikiwezekana Jeshi limlindeMsafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
======
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
View attachment 2900908
Ni dhambi kuwapumbaza watu na ukijua unawapumbaza kwa akili ya madaraka.
Mwenyezi Mungu akupe ahuweni ya chuki na gubu dhidi ya wafanyayo wengine tena wasokuhusu...
Kwa Neema na Baraka za Mungu, akuondolee Roho ya ubinafsi na kujihesabia haki na kuhukumu wengine...
Akupe ahuweni ya mapema kabla hujaumia moyo zaidi kwa gubu...
Huyo jamaa amejaa gundu tu, kaishia kuwasababishia watu maumivu na majeruhi kwa upunguani wake..
Huyu huwa hana anachofanikiwa
Mbona namba kama vile zenye kutumiwa na Freemasons?Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
======
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
View attachment 2900908
Mkuu...huyo chawa Pro,ananyonya adi mavi....Tanzania tunaoneka wapumbavu sabb ya watu kama hawa wanasifia ujingaHuyo makonda anaingiaje kwenye vita ya kiuchumi?
kwani magari ya serikali hayana bima ?Gharama ya boneti moja tu ya shangingi ni millions of coins bado mifumo mingine ...big loss kwa serikali
kazi ya kusikiliza shida za wananchi waliokwamishwa na bureaucrats wa serikali na pia kusuluhisha kesi zilizoishinda idara ya mahakamaKazi gani amepiga??
Mareakani wangekuwa wanamuwinda wasinge mnyima visa, wangemwacha aingie kingi wamtengeneze... Kumnyima visa maana yake hawana shida naePumbafu kabisa wewe,yaani MTU anawindwa na USA kisa kuondoa haki ya Wanadamu kuishi alafu wewe unaleta bange zako?
mnyonge ni mtu ambae unaweza kumfanyia uhabithi wowote na asifanye lolote...Hawa wanyonge ni akina nani?? Is it fair kumuita mwenzio mnyonge?
Hayana bima kamwe ndiyo maana yakipata ajali janatupwa wananunua menginekwani magari ya serikali hayana bima ?