Msafara wa Makonda wapata ajali

Msafara wa Makonda wapata ajali

Nimecheka kwa nguvu, Leo sijamuoana hapa jukwaani, au atakuwa amebatizwa na kuwa mkristo, hivyo Leo Yuko anatoa huduma?
Kipindi kile cha mikiki ya Gas alikuwa kila dakika anaposti kupinga gas kuja Dar na akawa anasema wapo tayari kwa lolote. Jeshi lilipoanza shughuli akapotea jukwaani miezi kibao,aliporudi akatoa ushuhuda jinsi alivyonusurika kufa.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Lililuwa jaribio zuri sana shambulio lilitengenezwa toka nyuma ikapigwa kross the ball was on the space but the man wasn't in the space.Ilikuwa almanusura ugomvi wa watekaji na watekwaji uamuliwe Amri toka juu
Ni jaribio zuri sana japo limekwenda off target.
Kwako mtangaji studio
 
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.

Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.

======
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.

Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.

View attachment 2900908
Poleni majeruhi, Mungu awaponye na kuwakinga na umauti.
 
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.

Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.

======
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.

Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.

View attachment 2900908
Duuuuu hakuna aliyekufa?
 
makonda hatochoka kuipigania nchi hasahasa kwa wanyonge na walalahoi wallah
Pumbafu kabisa wewe,yaani MTU anawindwa na USA kisa kuondoa haki ya Wanadamu kuishi alafu wewe unaleta bange zako?
 
Msafara wa Mwenezi wa CCM Komredi Makonda umepata.ajali akiwa njiani kuelekea DSM msibani kwa Waziri mkuu mstaafu

Jumla ya magari 13 yamegongana

Ajali imetokea huko suluhu Masasi mkoani Mtwara

====

Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.

Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.


Source: Azam Tv
Hakuna MTU aliyekufa kabisaa?
 
Back
Top Bottom