Hivi mnamjua Paul Makonda nyie?

Hivi mnamjua Paul Makonda nyie?

Username 20

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
744
Reaction score
1,520
Huyu ambaye alimlaghai GSM kuwa Rais Magufuli anataka kujengewa nyumba,
Aliyetaka kupitisha biashara yake bandarini kwa kisingizio cha kusaidia meza na viti waalimu wa Dar

Huyu bwana ukimweka kwenye kundi la walafi wa madaraka na matumizi mabaya ya madaraka ni namba moja kwa Tanzania hivi sasa
Kwanini mnamhusisha na Uwaziri mkuu, huyu bwana hafai hata kuwa waziri kwenye wizara yoyote watu wataumia

Kabla na baada ya uchaguzi wa 2020 JPM mwenyewe alilijua hili na kama JPM angebahatika kumaliza mhura wake wa pili ndo kabisa tusingemsikia tena Paul Makonda kwenye siasa za Tanzania

Makonda alipochaguliwa kuwa Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, alifanya ziara karibu nchi nzima alikuwa akitoa amri na viyisho kama ndio Rais mwenyewe

Kubwa zaidi alinikuta mkoani Singida kikazi na hapo ndio nikafahamu kuwa kumbe alikuwa akiwataka wakurungezi wa halmashauri na manispaa wote kote alikopita wampatie Tsh mil. 10 kwa kitisho cha kuwa usipotoa hiyo pesa utafutwa kazi

Kwa mda huo kidogo tu aliodumu kama Katibu wa Itikadi na Uenezi watu walihaha mpaka Rais Samia kumtoa na kumhamisha kama RC Arusha

Huyu bwana hawafai na nina imani kubwa Rais Samia hawezi kurudia kufanya kosa tena
 
Huyu ambae alimlaghai GSM kuwa Rais Magufuri anataka kujengewa nyumba,
Alietaka kupitisha biashara yake bandarini kwa kisingizio cha kusaidia meza na viti waalimu wa Dar

Huyu bwana ukimweka kwenye kundi la walafi wa madaraka na matumizi mabaya ya madaraka ni namba moja kwa Tanzania hivi sasa
Kwanini mnamhusisha na Uwaziri mkuu, huyu bwana hafai hata kuwa waziri kwenye wizara yoyote watu wataumia

Kabla na baada ya uchaguzi wa 2020 JPM mwenyewe alilijua hili na kama JPM angebahatika kumaliza mhura wake wa pili ndo kabisa tusingemsikia tena Paul Makonda kwenye siasa za Tanzania

Makonda alipochaguliwa kuwa Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, alifanya ziara karibu nchi nzima alikuwa akitoa amri na viyisho kama ndio Rais mwenyewe

Kubwa zaidi alinikuta mkoani Singida kikazi na hapo ndio nikafahamu kuwa kumbe alikuwa akiwataka wakurungezi wa halmashauri na manispaa wote kote alikopita wampatie Tsh mil. 10 kwa kitisho cha kuwa usipotoa hiyo pesa utafutwa kazi

Kwa mda huo kidogo tu aliodumu kama Katibu wa Itikadi na Uenezi watu walihaha mpaka Rais Samia kumtoa na kumhamisha kama RC Arusha

Huyu bwana hawafai na nina imani kubwa Rais Samia hawezi kurudia kufanya kosa tena
Naunga hoja mkono ,Tena ni mtesi na anahujumu haki za binadamu ( refer katazo la marekani askanyage kwao)
 
IMG-20251104-WA0054.jpg
 
Mpaka sasa sielewi Makonda ana Potential Gani kwenye politics mpaka anataka Kupewa vyeo vya juu Ivo, Kuwa na PM mwenye katazo la Kwenda US ni ajabu sana

Makonda alivyo Anza kudeal na issue za drugs na mashoga ndio niliona Hakuna Kitu ni mtu mpenda Publicity sana ndio mana akawa anawalisha Nyama na beer tu Wana Arusha

Utatuzi wake mwingi wa changamoto za jamii ni best on temporary basis tu ili apate publicity ni mtu ambae hupenda sana Kutumia wanamama ili kupata hio Publicity

Makonda is better angekuwa type ya Kina Mwamposa, Lusekelo na Kakobe ila sio madaraka na Power, Hatoshi kabisa
 
Useless country.. hii ndio maana sasa ya Kakistocracy Bashite kichwa boga Leo anapigiwa chapuo awe waziri mkuu,

Kija Yunus empty set(refer interview yake na Lissu)

Halafu mtu wa maana kama Tindu Lissu yupo Magereza..

we're living backwards Hadi najiuliza mfano tukiwa na wabunge timamu kama taifa tutapata hasara gani?why jesca magufuli?Mtu mweusi mjinga sana
 
Kwanini mnamhusisha na Uwaziri mkuu, huyu bwana hafai hata kuwa waziri kwenye wizara yoyote watu wataumia
Awe mbunge, waziri, diwani, hata waziri mkuu, nafasi yoyote anatekeleza matakwa ya chama chake na si wananchi.

Umeandika uzi kwa ajili ya makonda kana kwamba yuko katikati ya watakatifu na yeye ndio mchafu pekee.
Mfumo unapenda watu emotional kama wewe ni rahisi kuwa twisted. CCM ni ileile bila kujali mtu.
 
Bashite namfahamu kwenye issue ya kumuuza Ben Saanane ,yeye ndiye aliyeinjinia utekaji wa Ben.

Bashite namfahamu kwenye kupigwa risasi Lissu.

Bashite namfahamu kwenye utekaji wa Roma.
Na baada ya hapo akateuliwa RC, vipi kuhusu aliyemteua, hajui hayo?
 
"siasa inappfanywa kuwa KAZI ya malipo makubwa kuliko kazi yoyote Ile lazima machafuko na ujambazi utokee kwenye taifa "

Mtu hawezi kumuua mwalimu au daktari Ili awe mwalimu au daktari wa hospital fulani,lakini mwanasiasa yupo tayari kumwaga damu ili apate cheo coz siasa no utajiri kabisa!!

Tufanye mageuzi ya katiba siasa owe KAZI ya kawaida yenye kujali maslahi mapana ya wananchi na isiyo na malipo makubwa!!
 
Useless country.. hii ndio maana sasa ya Kakistocracy Bashite kichwa boga Leo anapigiwa chapuo awe waziri mkuu,

Kija Yunus empty set(refer interview yake na Lissu)

Halafu mtu wa maana kama Tindu Lissu yupo Magereza..

we're living backwards Hadi najiuliza mfano tukiwa na wabunge timamu kama taifa tutapata hasara gani?why jesca magufuli?Mtu mweusi mjinga sana
Wote ni chama kimoja, unataka wamchague nani, nani anafaa zaidi ya mwingine, unadhani huyo anayefaa yuko kumtumikia nani?

Kuanzia spika, wakuu wa polisi, jeshi, majaji, maRC, DC, wakurugenzi, wote uteuzi unatoka kwa Rais, kulalamikia wateuliwa kuliko anayeteua ni matokeo ya kuongozwa na hisia kuliko logics.
 
Wote ni chama kimoja, unataka wamchague nani, nani anafaa zaidi ya mwingine, unadhani huyo anayefaa yuko kumtumikia nani?

Kuanzia spika, wakuu wa polisi, jeshi, majaji, maRC, DC, wakurugenzi, wote uteuzi unatoka kwa Rais, kulalamikia wateuliwa kuliko anayeteua ni matokeo ya kuongozwa na hisia kuliko logics.
Unaweza kulaumu unaemtaka ila still haibadilishi maana..
 
Kumtapeli Mtu ni akili kubwa, Wahindi na Waarabu wanatubia kila siku iwe kwenye maduka, miradi, mikataba nk tunaishia kulalmika tu. Wakitapeliwa mara moja moja kama hivyo inatosha.
 
Back
Top Bottom