Palestine Will be free
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,990
- 6,617
Mmerudiana?
Mmerudiana?
Watu wa kusini, huwa hawatakagi ujinga. Yaani ajali inayohusu magari 13??ni ajali fikirishi.
Mwenyezi Mungu akupe ahuweni ya chuki na gubu dhidi ya wafanyayo wengine tena wasokuhusu...Narudia Usipende kumuhusisha Mungu kwenye mambo ya kijinga. Msafara wa magari 50 kwaajili ya Msemaji wa chama, huo ni ujinga uliopitiliza. Sasa makamu mwenyekiti au Katibu Mkuu atakuwa na msafara wa magari mangapi?. Watu wanafanya ujinga then unakimbilia kumtaja Mungu
Mmerudiana?
Serikali ya chama chake ccm ndio imesababisha yote ayasemayo.makonda hatochoka kuipigania nchi hasahasa kwa wanyonge na walalahoi wallah
tail driving ni uendeshaji hatari sana.
Gari ya mbele ikisimama ghafla ni ajali.
Kwa hadhi ya magari ya huu msafara, matengenezo ni ghali sana.
Jibu zuri sana hili, ahsante sana kwa jibu kama hili.Mwenyezi Mungu akupe ahuweni ya chuki na gubu dhidi ya wafanyayo wengine tena wasokuhusu...
Kwa Neema na Baraka za Mungu, akuondolee Roho ya ubinafsi na kujihesabia haki na kuhukumu wengine...
Akupe ahuweni ya mapema kabla hujaumia moyo zaidi kwa gubu...
🤓 kwahiyo ulikua makini sana umebana mahali unasubiri Makonda apate ajali 🐒Alikuwa ameshapita.
ulishawahi kusikia juu ya vita vya kiuchumi ndugu
Hahaaaa huko sijui ,ila nachojua kwamba mambo mengi ya kwenye mitandao na uhalisia ni vitu viwili tofauti....mitandaoni part acting ha ha.
Ila hii habari haijakamilika wala nini. Ilitakiwa ikamilike.Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
======
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
View attachment 2900908