Msafara wa Makonda wapata ajali

Msafara wa Makonda wapata ajali

Hizi Gari zinavyofunguka huko Road hamna namna inaweza fanya gari moja ikisimama ghafla zote zisivaaane.

Yaniii wanachomoka kiasi kwamba unajiuliza hawa raia wanajuaga kuna bahati mbaya au ajali kazini?

Sababu ni ROUGH ROAD ndio mana yamewakuta wote ila ingekua LAMI wasingepata wote ajali maana LAMI huwa wanatanua kama wachezaji wa ARSENAL...
 
Back
Top Bottom