bowlibo
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 3,209
- 2,920
wapone haraka, tunajua familia zao zitakuwa katika hali ya taharukipoleni sana naona kama walioumia wana suti za kazi
wapone haraka, tunajua familia zao zitakuwa katika hali ya taharukipoleni sana naona kama walioumia wana suti za kazi
Ni ulichosema kiongozi!!Misafara ya viongozi mara zote huongozwa na sweeper ambao hutangulia mbele kwa speed zaidi ya 100kmph na mara nyingi ni kukwepa ma-sniper labda wakifika mjini ambako wanapadhibiti.
huenda huyo dereva hakuwa mzoefu au vumbi lilimtibua ndio maana akaingia bondeni
hilo dude ni V8 na lina speed mpaka 220kmph au 140mph ila ukilikosea ndani ya sekunde linakutoa barabarani
Neno mwendokasi halipo kwenye ajali za viongozi.....Watu 4 wamejeruhiwa katika msafara wa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya gari moja kuanguka huko Nanguruwe wakati wakitoka mtwara kuelekea Tandahimba.
View attachment 396831
View attachment 396808
Majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Ligula,
Chanzo: Radio One
=======
UPDATES:
Msafara wa Makamu wa Rais wa wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ambao ulikuwa unaelekea wilayani Tandahimba ukitokea Ikulu ndogo ya Rais Mtwara umepata ajali na kusababisha majeruhi ambao wamekimbizwa hospitali ya rufaa Ligula.
Ajali hiyo imetokea mbele kidogo ya kijiji cha Nanguruwe kilichopo halmashauri ya wilaya ya Mtwara ambapo taarifa zinasema kati ya majeruhi walioumia ni dereva pamoja na wasaidizi wanne wa makamu Rais.
Awali kabla ya gari hilo lililobeba wasaidizi wa Rais kuacha njia na kupinduka, gari lililokuwa limebeba baadhi ya waandishi wa habari walioambatana na ziara hiyo, liliacha njia na nusura lipinduke.
Barabara ya kutoka Mtwara kuelekea Tandahimba, imekuwa ikitajwa kutokuwa na kiwango cha kuridhisha na kuruhusu magari kwenda mwendokasi hali iliyosababisha magari hayo kuacha njia na moja kupinduka kabisa na kusababisha majeruhi.
Hawa madereva huwa mnawapata wapi???????Watu 4 wamejeruhiwa katika msafara wa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya gari moja kuanguka huko Nanguruwe wakati wakitoka mtwara kuelekea Tandahimba.
View attachment 396831
View attachment 396808
Majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Ligula,
Chanzo: Radio One
=======
UPDATES:
Msafara wa Makamu wa Rais wa wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ambao ulikuwa unaelekea wilayani Tandahimba ukitokea Ikulu ndogo ya Rais Mtwara umepata ajali na kusababisha majeruhi ambao wamekimbizwa hospitali ya rufaa Ligula.
Ajali hiyo imetokea mbele kidogo ya kijiji cha Nanguruwe kilichopo halmashauri ya wilaya ya Mtwara ambapo taarifa zinasema kati ya majeruhi walioumia ni dereva pamoja na wasaidizi wanne wa makamu Rais.
Awali kabla ya gari hilo lililobeba wasaidizi wa Rais kuacha njia na kupinduka, gari lililokuwa limebeba baadhi ya waandishi wa habari walioambatana na ziara hiyo, liliacha njia na nusura lipinduke.
Barabara ya kutoka Mtwara kuelekea Tandahimba, imekuwa ikitajwa kutokuwa na kiwango cha kuridhisha na kuruhusu magari kwenda mwendokasi hali iliyosababisha magari hayo kuacha njia na moja kupinduka kabisa na kusababisha majeruhi.
Kina nani?Wengine Je?
Is this issue serious?
Barabara iliyochini ya kiwangoChanzo cha ajali ni kipi?
kwa hiyo unataka kuhusisha ajali hii na zile tetesi? ama sijakuelewa vyema mkuuDuh pole makamu wa raisi nina wasi wasi na mazingira ya ajali hiyo ngoja tusubiri taarifa rasmi kwa wahusika.