Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Mayungi ashiriki zoezi la usafi Mkoa wa Mbeya

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Mayungi ashiriki zoezi la usafi Mkoa wa Mbeya

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
5,079
Reaction score
15,357
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Mayungi, ameshiriki zoezi la usafi katika Mkoa wa Mbeya pamoja na Balozi wa Mazingira Tanzania, Michael Msechu, vijana wa vyuo, wafanyabiashara wa eneo la Kabwe Standi, viongozi wa chama pamoja na madiwani.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Mayungi, ameshiriki zoezi la usafi katika Mk...jpg
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Mayungi, ameshiriki zoezi la usafi katika Mk...jpg
Zoezi hilo limeendelea kuhamasisha umuhimu wa utunzaji wa mazingira na kuongeza juhudi za kupambana na mabadiliko ya tabianchi kuelekea Dira ya Taifa ya 2050.

Aidha, viongozi hao wameendelea kusisitiza mshikamano wa wananchi katika kuhakikisha Tanzania inakuwa ya kijani na salama kwa vizazi vijavyo, huku wakitoa rai ya kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika agenda ya Tanzania ya Kijani.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Mayungi, ameshiriki zoezi la usafi katika Mkoa.jpg

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi, amewataka wananchi nchini kuendelea...jpg

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi, amewataka wananchi nchini kuendelea k.jpg

Pia soma ~ Utaratibu wa uzoaji Taka Jiji la Mbeya ni shida, zimezagaa mitaani licha ya Wananchi kulipa ili zizolewe
 
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Mayungi, ameshiriki zoezi la usafi katika Mkoa wa Mbeya pamoja na Balozi wa Mazingira Tanzania, Michael Msechu, vijana wa vyuo, wafanyabiashara wa eneo la Kabwe Standi, viongozi wa chama pamoja na madiwani.
Zoezi hilo limeendelea kuhamasisha umuhimu wa utunzaji wa mazingira na kuongeza juhudi za kupambana na mabadiliko ya tabianchi kuelekea Dira ya Taifa ya 2050.

Aidha, viongozi hao wameendelea kusisitiza mshikamano wa wananchi katika kuhakikisha Tanzania inakuwa ya kijani na salama kwa vizazi vijavyo, huku wakitoa rai ya kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika agenda ya Tanzania ya Kijani.

Pia soma ~ Utaratibu wa uzoaji Taka Jiji la Mbeya ni shida, zimezagaa mitaani licha ya Wananchi kulipa ili zizolewe
Sawa,watu wanalalamika mbolea nyie mpo kwenye usafi!
 
Back
Top Bottom