[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa huyo ef ef you hayo mabomu yakilipuka si ndo atawaongeza majeraha?
mwendo kasi tehChanzo cha ajali ni nini,?
Mwenyewe nimemshangaa sijui hapo mabom ya niniSasa huyo ef ef you hayo mabomu yakilipuka si ndo atawaongeza majeraha?
itv pia habari za saaa nimeonaChanzo cha ajali ni kipi?
Watu 4 wamejeruhiwa katika msafara wa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya gari moja kuanguka huko Nanguruwe wakati wakitoka mtwara kuelekea Tandahimba.
View attachment 396831
View attachment 396808
Majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Ligula,
Chanzo: Radio one
Na wewe rekebisha maandishi yako! MALANYINGI au MARANYINGI? - AJAR au AJALI??kwa nn malanyingi ktk misafara mala nyingi ajar hutokea??