Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,956
- 12,411
Nilivyofungua tu JF nakutana na huu uzi, jishangazi alihitaji msaada wa haraka 🙌Kijana umeanza kuchangamka,unakomenti uzi bila kuitwa?
Nilivyofungua tu JF nakutana na huu uzi, jishangazi alihitaji msaada wa haraka 🙌Kijana umeanza kuchangamka,unakomenti uzi bila kuitwa?
Ahusike mapema.Edo kissy apo MK waganga wapo wengi sana hasa ukiwa unaenda wanging'ombe .
Ubinadamu upo hapa 😂We mwema😂🙌🏿
A wapi mganga anaogopa baridiKule wamenyooka kaka nko na ushuhuda 😂😂
Nina maumivu Sana natakiwa kuilipa helaMtu akikupiga kofi shavu la kulia mgeuzie na lakushoto,,kesho beba tena pochi halafu pita palepale halafu wanavokuibia wakariri sura
Dokoa vya wenyewe utajuaA wapi mganga anaogopa baridi
Mimi ni Mganga Konki. Utayaweza masharti yangu? Baadhi ya dawa utatakiwa kuwekewa mwilini na mimi mwenyewe kupitia njia ya kuunganisha viungo vya mwili.Shikamoon wakubwa zangu.
Juzi jumamosi nimeibiwa Pochi yangu na watu waliokuwa kwenye bodaboda Maeneo ya Tabata bima
Kwakweli Kwa umasikini wangu nimeumia Sana.
Pochi yenyewe ina Thamani ya 35000
Pia kulikuwa na simu Samsung S22,pesa tasilimu 780000 nilizoagizwa nikanunue Mahitaji ya nyumbani pamoja na
Cheni niliyopewa na mama yangu pamoja na vitu vingine
Sasa toka juzi familia imeninunia hakuna anayeamini nimeibiwa na Mimi hapa msaada wenu naomba nielekezwe mganga wa maana sina utan hata mkoani naenda sina huruma PM iko wazi namba ya mganga nataka
Tumejisahau tukajua ni uzi wetu pendwa wa efootball
[emoji23][emoji23][emoji23] DA marry kajipata, 780k ya madiko diko ya home.Marry Dikompoza kwa mara nyinngine tena [emoji81][emoji81]
Wewe sio maskini hiyo 780000 ya kununua vitunguu na mboga wenzako mitaji hiyo..!!
Nomadiq unaitwa piemuni ukatoe namba za mganga usijifanye hujaona uzi [emoji81][emoji81]
kama unaikumbuka email nitumie nicheze na ip address tu, hata kama alieiba akiflash kitendo cha kuweka laini yake tu itanipa location ya simu ilipo....Shikamoon wakubwa zangu.
Juzi jumamosi nimeibiwa Pochi yangu na watu waliokuwa kwenye bodaboda Maeneo ya Tabata bima
Kwakweli Kwa umasikini wangu nimeumia Sana.
Pochi yenyewe ina Thamani ya 35000
Pia kulikuwa na simu Samsung S22,pesa tasilimu 780000 nilizoagizwa nikanunue Mahitaji ya nyumbani pamoja na
Cheni niliyopewa na mama yangu pamoja na vitu vingine
Sasa toka juzi familia imeninunia hakuna anayeamini nimeibiwa na Mimi hapa msaada wenu naomba nielekezwe mganga wa maana sina utan hata mkoani naenda sina huruma PM iko wazi namba ya mganga nataka
Marry sio level zetu uduguu 😹😹[emoji23][emoji23][emoji23] DA marry kajipata, 780k ya madiko diko ya home.
Je Kipako kitakua cha wapi anatumia? Mletee OG za Norway, awe km range ya Haaland.
[emoji23][emoji23][emoji23]