Marry Diana
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,418
- 4,113
- Thread starter
- #21
Mbona unaweka wingi wakati kuna watu nawasiliana nao vizuri na hata alipo mganga nishaelekezwaPole sana Mary Diana. Ila wewe mwenyewe ulisema kuna watu wanajipa umuhimu kwenye maisha ya watu. Sasa naona hata tukikusaidia, huenda tukaonekana tunajipendekeza au tunajipa nafasi ambayo hatuna.
Tumeheshimu ulichosema, na hatutaki kujilazimisha kwenye maisha ya mtu ambaye tayari ametuonyesha kwamba hatuhitajiki.