Msaada wenu tafadhali

Msaada wenu tafadhali

Kwani nini maana ya hitaji? 🤦‍♀️
Mahitaj iko pana sana.
Ila tumezoea ukisema naenda nunua mahitaji ya home, unaenda kununua vitu vinavyotumika na kuisha.
Kama chakula. Gesi, sabuni na vitu vya aina hiyo.

Na sio kununua Makochi, TV au Fridge.
 
Nipgie 0702288092 au kuja PM nikupe mchongo ,sister mim pia niilibiwa simu ikarudi kama ilivyo
 
Mahitaj iko pana sana.
Ila tumezoea
ukisema naenda nunua mahitaji ya home, unaenda kununua vitu vinavyotumika na kuisha.
Kama chakula. Gesi, sabuni na vitu vya aina hiyo.

Na sio kununua Makochi, TV au Fridge.

Kwenye TUmezoea mie simo 😃
Mtu akisema anaenda kununua mahitaji ya nyumbani namuelewa kwa upana huo ulioandika

Naweza kwenda kununua pasi,fridge,jiko na vingi tu ambavyo ninahitaji kuwa navyo nyumbani
 
Kwenye TUmezoea mie simo 😃
Mtu akisema anaenda kununua mahitaji ya nyumbani namuelewa kwa upana huo ulioandika

Naweza kwenda kununua pasi,fridge,jiko na vingi tu ambavyo ninahitaji kuwa navyo nyumbani
Sawa. 780k.
Alaf akaanza kusema na pochi ya 35K na Simu s22. Ni kama 450k hivi. Na cheni ya gharama.

😊😊😊😊😊
Na hapa ndio nikapata mashaka.
na pia akasema
"Kwa kweli , kwa umasikini wangu, niliumia sana".

Kwan kuna mwana JF masikini. Si wote wako na uwezo 😊😊😊
 
Sawa. 780k.
Alaf akaanza kusema na pochi ya 35K na Simu s22. Ni kama 450k hivi. Na cheni ya gharama.

😊😊😊😊😊
Na hapa ndio nikapata mashaka.
na pia akasema
"Kwa kweli , kwa umasikini wangu, niliumia sana".

Kwan kuna mwana JF masikini. Si wote wako na uwezo 😊😊😊

Mmh sasa hayo mengine ya financial status ya wanaJF sifahamu kwasababu sijawahi kukutana na mwanaJF yoyote

Lakini mwisho wa siku 780K inaweza kutumika kununua mahitaji ya nyumbani
 
Huu uzi kwakuwa umeanzishwa na Mwanamke wala hutoona comment za kusema Chai..
 
Mahitaji ya home inaweza kuwa fridge ama some other electronic equipment

Ama ukisikia mahitaji ya home unadhani ni nyanya na vitunguu baaas?
Una akili nyingi Sana,
Ni kweli nilikuwa naenda kupeleka asilimia 30 ya pesa kukomboa vifaa vya jikoni. Kwakuwa kuna pesa tulishatanguliza mwezi wa Saba ulioisha
 
Mmh sasa hayo mengine ya financial status ya wanaJF sifahamu kwasababu sijawahi kukutana na mwanaJF yoyote

Lakini mwisho wa siku 780K inaweza kutumika kununua mahitaji ya nyumbani
Achana naye Huyo.

Mimi naishi Kwa wazazi wangu karibu kila kitu napewa na wazazi wangu sasa unadhani nikiwa mtoto pekee pendwa siwezi pewa vitu hivyo na kazi ninayo
 
DA marry em sema kweli? Ungeibiwa hakika usingekuja JF karibuni.
Aaah wee 😂😂😂

Km uko serious njoo nikuunganishe na mtaalamu konki, hana kipengere labda ukilete wee. 😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20260803-153403_eFootball.jpg
    Screenshot_20260803-153403_eFootball.jpg
    314.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom