Msaada tafadhali: miaka 2 sasa nateseka na Harufu Mbaya ya Mdomo

Knight rider

JF-Expert Member
May 10, 2023
452
659
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Nimekuja kwenu nikiomba ushauri juu ya kadhia hii inayonikumba mimi mdogo wenu;

Takriban miaka 2 sasa nimekuwa nikitaabika sana na harufu mbaya ya mdomo mithili ya tundu la choo kiasi kwamba nikipishana na mtu anaweza kudhani sijapiga mswaki week nzima.

Nimekua nikijitahidi sana walau kupiga mswaki kila baada ya mlo... Asubuhi, Mchana na Usiku kabla ya kulala. kunywa maji mengi, mboga mboga na matunda kwa wingi pamoja na kutumia mouth-wash.

yote hayo nimefanya lakini hali bado iko palepale.

Mwisho nimekwenda hospitali mara kadhaa na kuonana na Dentist bila mafanikio.

Mahusiano yangu yamevunjika kwa kadhia hiii.

Nahisi kukata tamaa kabisa ukizingatia mara kadhaa nimekua nikitengwa na kunyanyapaliwa na baadhi ya watu kwenye jamii inayonizunguka.

Msaada tafadhali.

Moderator tafadhalini sana nawaombeni msiunganishe uzi wangu huu.
 
Kuna jamaa yangu wa karibu aliwahi kupata shida kama hii kwa miaka kafhaa, lakini ilikuja kuisha baada ya kuanza kutumia BAKING SODA – Kutengeneza mouthwash ya baking soda na maji kama tiba ya asili ya muda mrefu.
Nakushauri uanze kutumia hii kwa kusukutua kinywani mara moja kwa siku.
 
Kuna jamaa yangu wa karibu aliwahi kupata shida kama hii kwa miaka kafhaa, lakini ilikuja kuisha baada ya kuanza kutumia BAKING SODA – Kutengeneza mouthwash ya baking soda na maji kama tiba ya asili ya muda mrefu.
Nakushauri uanze kutumia hii kwa kusukutua kinywani mara moja kwa siku.
Sawa mkuu nashukuru sana

Be blessed
 
**********************************
**********************************
**********************************
**********************************

**********************************
 
**********************************
**********************************
**********************************
**********************************

**********************************
Thanks
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Nimekuja kwenu nikiomba ushauri juu ya kadhia hii inayonikumba mimi mdogo wenu;

Takriban miaka 2 sasa nimekuwa nikitaabika sana na harufu mbaya ya mdomo mithili ya tundu la choo kiasi kwamba nikipishana na mtu anaweza kudhani sijapiga mswaki week nzima.

Nimekua nikijitahidi sana walau kupiga mswaki kila baada ya mlo... Asubuhi, Mchana na Usiku kabla ya kulala. kunywa maji mengi, mboga mboga na matunda kwa wingi pamoja na kutumia mouth-wash.

yote hayo nimefanya lakini hali bado iko palepale.

Mwisho nimekwenda hospitali mara kadhaa na kuonana na Dentist bila mafanikio.

Mahusiano yangu yamevunjika kwa kadhia hiii.

Nahisi kukata tamaa kabisa ukizingatia mara kadhaa nimekua nikitengwa na kunyanyapaliwa na baadhi ya watu kwenye jamii inayonizunguka.

Msaada tafadhali.

Moderator tafadhalini sana nawaombeni msiunganishe uzi wangu huu.
Mkuu pole sana kwa hayo maradhi yako ya mdomo kutoa harufu mbaya nitafute kwa wakati ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 
Mkuu kama unakawaida ya kuzama chumvini tumia hii itakusaidia sana nishawahi kuzama hilo eneo nilijuta and saiz dem nitamuuliza ushawahi kunyinywa chumvi akisema tu alishanyonywa, hata denda langu simpi coz najua atakuwa na maambukizi tu. Ukisukutua umeze usiteme
IMG_20230801_193630.jpg
 
Mkuu huenda una Tonsil stones kwenye koo...

Vipande vigumu vinavyotokana na mabaki ya chakula...kama una swaki vizuri bila shaka ulishawahi viona vikitoka.. vya njano na vina harufu mbaya na kali...

Nenda hospital ukacheki..kama ndio sababu au lah..
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Nimekuja kwenu nikiomba ushauri juu ya kadhia hii inayonikumba mimi mdogo wenu;

Takriban miaka 2 sasa nimekuwa nikitaabika sana na harufu mbaya ya mdomo mithili ya tundu la choo kiasi kwamba nikipishana na mtu anaweza kudhani sijapiga mswaki week nzima.

Nimekua nikijitahidi sana walau kupiga mswaki kila baada ya mlo... Asubuhi, Mchana na Usiku kabla ya kulala. kunywa maji mengi, mboga mboga na matunda kwa wingi pamoja na kutumia mouth-wash.

yote hayo nimefanya lakini hali bado iko palepale.

Mwisho nimekwenda hospitali mara kadhaa na kuonana na Dentist bila mafanikio.

Mahusiano yangu yamevunjika kwa kadhia hiii.

Nahisi kukata tamaa kabisa ukizingatia mara kadhaa nimekua nikitengwa na kunyanyapaliwa na baadhi ya watu kwenye jamii inayonizunguka.

Msaada tafadhali.

Moderator tafadhalini sana nawaombeni msiunganishe uzi wangu huu.
Tafuta chanzo cha tatizo ni nini.

Kunuka mdomo mara nyingine ni dalili ya matatizo makubwa zaidi kama kisukari.
 
Tafuta chanzo cha tatizo ni nini.

Kunuka mdomo mara nyingine ni dalili ya matatizo makubwa zaidi kama kisukari.
Sure. Ukisoma mitandaoni, Halitosis (utaoji wa harufu mbaya kinywani) inaweza kusabanishwa na maambukizi yaliyo ndani ya mwili (sio mdomoni).
Maambukizi kwenye mapafu, ini au magonjwa ya figo na kisukari. Fanya vipimo vya vitu hivyo, inaweza kuwa hatua nzuri ya kujua pa kuanzia kudhibiti tatizo lako.
 
Pole sana mkuu, au una teeth worm?? Ni wale jamaa wapo mithili ya malaika

Anyway jaribu kutumia Vigor doctor hii dawa sitakuja kuisahau ilimaliza matatizo yote ya meno enzi zile.

NB Kapime mapafu, na vitonda tumbo
 
Pole sana mkuu, au una teeth worm?? Ni wale jamaa wapo mithili ya malaika

Anyway jaribu kutumia Vigor doctor hii dawa sitakuja kuisahau ilimaliza matatizo yote ya meno enzi zile.

NB Kapime mapafu, na vitonda tumbo
Asante kwa ushauri mkuu
 
Sure. Ukisoma mitandaoni, Halitosis (utaoji wa harufu mbaya kinywani) inaweza kusabanishwa na maambukizi yaliyo ndani ya mwili (sio mdomoni).
Maambukizi kwenye mapafu, ini au magonjwa ya figo na kisukari. Fanya vipimo vya vitu hivyo, inaweza kuwa hatua nzuri ya kujua pa kuanzia kudhibiti tatizo lako.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom