Knight rider
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 452
- 659
Habari za wakati huu ndugu zangu.
Nimekuja kwenu nikiomba ushauri juu ya kadhia hii inayonikumba mimi mdogo wenu;
Takriban miaka 2 sasa nimekuwa nikitaabika sana na harufu mbaya ya mdomo mithili ya tundu la choo kiasi kwamba nikipishana na mtu anaweza kudhani sijapiga mswaki week nzima.
Nimekua nikijitahidi sana walau kupiga mswaki kila baada ya mlo... Asubuhi, Mchana na Usiku kabla ya kulala. kunywa maji mengi, mboga mboga na matunda kwa wingi pamoja na kutumia mouth-wash.
yote hayo nimefanya lakini hali bado iko palepale.
Mwisho nimekwenda hospitali mara kadhaa na kuonana na Dentist bila mafanikio.
Mahusiano yangu yamevunjika kwa kadhia hiii.
Nahisi kukata tamaa kabisa ukizingatia mara kadhaa nimekua nikitengwa na kunyanyapaliwa na baadhi ya watu kwenye jamii inayonizunguka.
Msaada tafadhali.
Moderator tafadhalini sana nawaombeni msiunganishe uzi wangu huu.
Nimekuja kwenu nikiomba ushauri juu ya kadhia hii inayonikumba mimi mdogo wenu;
Takriban miaka 2 sasa nimekuwa nikitaabika sana na harufu mbaya ya mdomo mithili ya tundu la choo kiasi kwamba nikipishana na mtu anaweza kudhani sijapiga mswaki week nzima.
Nimekua nikijitahidi sana walau kupiga mswaki kila baada ya mlo... Asubuhi, Mchana na Usiku kabla ya kulala. kunywa maji mengi, mboga mboga na matunda kwa wingi pamoja na kutumia mouth-wash.
yote hayo nimefanya lakini hali bado iko palepale.
Mwisho nimekwenda hospitali mara kadhaa na kuonana na Dentist bila mafanikio.
Mahusiano yangu yamevunjika kwa kadhia hiii.
Nahisi kukata tamaa kabisa ukizingatia mara kadhaa nimekua nikitengwa na kunyanyapaliwa na baadhi ya watu kwenye jamii inayonizunguka.
Msaada tafadhali.
Moderator tafadhalini sana nawaombeni msiunganishe uzi wangu huu.