¡ amina...Salama mkuu pole sana kwa changamoto mwachie Mungu tu. Mambo ya waganga hayo achana nayo
Pole sana, madamShikamoon wakubwa zangu.
Juzi jumamosi nimeibiwa Pochi yangu na watu waliokuwa kwenye bodaboda Maeneo ya Tabata bima
Kwakweli Kwa umasikini wangu nimeumia Sana.
Pochi yenyewe ina Thamani ya 35000
Pia kulikuwa na simu Samsung S22,pesa tasilimu 780000 nilizoagizwa nikanunue Mahitaji ya nyumbani pamoja na
Cheni niliyopewa na mama yangu pamoja na vitu vingine
Sasa toka juzi familia imeninunia hakuna anayeamini nimeibiwa na Mimi hapa msaada wenu naomba nielekezwe mganga wa maana sina utan hata mkoani naenda sina huruma PM iko wazi namba ya mganga nataka
Maelezo mengiSawa tumeshajua hadhi yako ila humu sisi makapuku hatukuwezi kwa dau lako
Asante mwayaPole sana, madam
Asante
Nipe namba udugu,huwezi amini natakiwa kulipaDA marry em sema kweli? Ungeibiwa hakika usingekuja JF karibuni.
Aaah wee 😂😂😂
Km uko serious njoo nikuunganishe na mtaalamu konki, hana kipengere labda ukilete wee. 😂😂😂
Kumbe, aisee basi nikajinyonge tu..Maelezo mengi
Msaidie kama unamsaidia
Laki Saba mbona ndogo sana kwa mwanaume
.......
Kama umeona Kichuguu umestuka hvyo, basi huko utaenda kuuona Mlima na utakufa kabisa - Mulin
Pole sana inaonekana sio boda boda bali ni linjemba uliloelewana nalo nikakunyandue ndio limekuibia ukiwa guest house, wewe sio wa kuibiwa na boda, pia naona kama unaleta drama mara kuna cheni ya mama ako, mara hela ya kununulia mboga...Shikamoon wakubwa zangu.
Juzi jumamosi nimeibiwa Pochi yangu na watu waliokuwa kwenye bodaboda Maeneo ya Tabata bima
Kwakweli Kwa umasikini wangu nimeumia Sana.
Pochi yenyewe ina Thamani ya 35000
Pia kulikuwa na simu Samsung S22,pesa tasilimu 780000 nilizoagizwa nikanunue Mahitaji ya nyumbani pamoja na
Cheni niliyopewa na mama yangu pamoja na vitu vingine
Sasa toka juzi familia imeninunia hakuna anayeamini nimeibiwa na Mimi hapa msaada wenu naomba nielekezwe mganga wa maana sina utan hata mkoani naenda sina huruma PM iko wazi namba ya mganga nataka