Msaada wa Sheria kuhusu sikukuu za kitaifa kwa watumishi wa umma

Msaada wa Sheria kuhusu sikukuu za kitaifa kwa watumishi wa umma

Joined
May 19, 2023
Posts
23
Reaction score
52
Habari wana bodies,napenda kujua Juu ya Sheria na miongozo juu ya watumishi wa umma wanaofanya kazi hadi siku za mapumziko ya sikukuu za umma,je wanastahili kupata stahiki gani kwa mujibu wa sheria?
 
Habari wana bodies,napenda kujua Juu ya Sheria na miongozo juu ya watumishi wa umma wanaofanya kazi hadi siku za mapumziko ya sikukuu za umma,je wanastahili kupata stahiki gani kwa mujibu wa sheria?
Kiutaratibu wanahesabu masaa baada ya muda wa kazi (over time).
1. Jumamosi nusu siku yaani mwisho saa 4 au 6 ila ukiendelea na kazi baada ya hapo yabidi ulipwe 1.5
2. Jumapili na sikukuu ni off ila ukiingia kazini ulipwe Double yaani x2 ya siku za kawaida.
Kwa Tz sijuhi kama waajili wanafuara hizi kanuni.
 
Habari wana bodies,napenda kujua Juu ya Sheria na miongozo juu ya watumishi wa umma wanaofanya kazi hadi siku za mapumziko ya sikukuu za umma,je wanastahili kupata stahiki gani kwa mujibu wa sheria?
Kama.mshahara wako kwa siku ni elfun20.

Ukifanya kqzi sikukuu (PH) unatakiwa kukipwa DOUBLE.

Badala ya elfu 20, sikunhusika unatakiwa kulipwa elfu 40.

Ila serikali huwa haiheshimu hilo.
 
chukua mshahara wako ugawe kwa siku za kazi then jibu fanya mara 2.
Kwa makadirio ukiwa unalipwa laki 9 kwa mwezi hapo tuseme unalipwa sh. 30 kwa siku moja.
hivyo fanya 30×2.
kwahiyo utapaswa kulipwa sh elfu 60 kwa siku moja
 
chukua mshahara wako ugawe kwa siku za kazi then jibu fanya mara 2.
Kwa makadirio ukiwa unalipwa laki 9 kwa mwezi hapo tuseme unalipwa sh. 30 kwa siku moja.
hivyo fanya 30×2.
kwahiyo utapaswa kulipwa sh elfu 60 kwa siku moja
Ndivo nilivyofafanua huko juu kuhsu x1.5 jumamosi na Double pay jumapili.
Sijajua kama wanatekeleza au laah
 
Back
Top Bottom