SPINE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 1,062
- 1,136
Habari za mida hii wadau, natumaini tunaendelea vyema na mihangaiko ya kila siku.
Naomba kujua njia gani nzuri/ mafuta ya kufanya nywele ziwe na weusi mzuri bila kutumia material kama "super black". Hata kama zipo njia za asili, naomba msaada wadau.
Nywele zimekuwa za brown sana. Niliambiwa ni sabuni, nimebadili lakini bado. Asanteni.
Naomba kujua njia gani nzuri/ mafuta ya kufanya nywele ziwe na weusi mzuri bila kutumia material kama "super black". Hata kama zipo njia za asili, naomba msaada wadau.
Nywele zimekuwa za brown sana. Niliambiwa ni sabuni, nimebadili lakini bado. Asanteni.