Habarini
Nimepata makazi apa mkoa wa arusha maeneo ya olasiti
Tokea nijenge nina mwaka sasa
Nilikuwa naomba msaada jinsi gani ya kupata hati ya nyumba
Kama mtu ana mtu huku aliopo kwenye hiyo mission anisaidie kuniunga nae
Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.