Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,191
nipo moshi
Lini Moshi imekua mkoa?
nipo moshi
kwa nini wakati unafanya hukutushirikisha saizi unakuja kuongea kaa nayo tu
nipo dar es salaam.ni mtaa wa mkwepu sio mkepu.upo posta dar es salaam tangazo lipo karibu na ubl bankmkepu ndo wapi uko?mkoa gani/mji gan?sijakuelewa yaan,tafadhali
Yaaa hata mimi niliwahi kuona tangazo kama hilo maeneo ya Sinza karibu na mahakama ya mwanzo.Kuna jamaa niliona tangazo lao wanafuta na kuchora tattoo karibu na ofisi yangu jumatatu nitakutumia namba zao uwacheki
mkuu hujasema umechora kwa kutumia nini ili tujue namna ya kukusaidia?
Tatoo ni nini?
Habari wana jf...Nina tattoo niliyojichora mkononi,nilijuta kuichora week moja baada ya kuchora,sasa nataka kuifuta,nimeskia kuna jinsi ya kuzifuta na ngozi inarudi kama kawaida,bila kutumia pasi.lakini sijui pa kuanzia wala sijui ni wapi.yan sijui chochote.Na kama kuna side effects zozote.
Kwa anaejua naomba anisaidie please..au kama kuna njia yoyote mbadala kwa yoyote ambae nae amesha experience hili.
natanguliza shukrani zangu