Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,784
- 5,285
Eti eeh huwa zinapotea zenyewe me naona inapotea taratibu sana.LBG
Ukienda sehemu za mabaharia watakueleza dawa ya kuondoa.
Eti eeh huwa zinapotea zenyewe me naona inapotea taratibu sana.LBG
Nahitaji kutoa tatoo ambayo nilijichora zamani lakn haipotei ni herufi mbili mkono wa kushoto kwenye msuli... naomba anayejua njia yoyote ile ilimradi hii tattoo ipotee.. ahsanteni
Nahitaji kutoa tatoo ambayo nilijichora zamani lakn haipotei ni herufi mbili mkono wa kushoto kwenye msuli... naomba anayejua njia yoyote ile ilimradi hii tattoo ipotee.. ahsanteni
Nahitaji kutoa tatoo ambayo nilijichora zamani lakn haipotei ni herufi mbili mkono wa kushoto kwenye msuli... naomba anayejua njia yoyote ile ilimradi hii tattoo ipotee.. ahsanteni
Mkuu we ndo mziwanda nini? "Baby shishi" ishakuwa kero muda huu!?
Kwanini unataka kuitoa?
nimeomba msaada jinsi ya kutoa jamani ,mnafkiri mtaniambia nn cha kuudhi zaidi ya hii tatoo ambayo siitaki
Pale Mtongani walikuwa wanatoa ispokuwa sikuchukua Namba zao.Pole mkuu,
unatushauri nn ss ambao hatuja chora maana huwa natami kias.
Cc mandwa
nimeomba msaada jinsi ya kutoa jamani ,mnafkiri mtaniambia nn cha kuudhi zaidi ya hii tatoo ambayo siitaki
Nahitaji kutoa tatoo ambayo nilijichora zamani lakn haipotei ni herufi mbili mkono wa kushoto kwenye msuli... naomba anayejua njia yoyote ile ilimradi hii tattoo ipotee.. ahsanteni