Nahitaji kutoa tatoo ambayo nilijichora zamani lakn haipotei ni herufi mbili mkono wa kushoto kwenye msuli... naomba anayejua njia yoyote ile ilimradi hii tattoo ipotee.. ahsanteni
nimeomba msaada jinsi ya kutoa jamani ,mnafkiri mtaniambia nn cha kuudhi zaidi ya hii tatoo ambayo siitaki
Huwezi kuzifuta. Jaribu kwenda kumuona daktari wa upasuaji atakusaidia kukuchuna ngozi ya juu kiufundi. Nina mtu aliyefanikiwa kuchunwa.
hahahaha jamaa atakuja juta yule namuonea hurumaMkuu we ndo mziwanda nini? "Baby shishi" ishakuwa kero muda huu!?
chukua pasi
ichomekeke katika soket
acha piate moto
fumba macho alafu iweke pale
waaaaaa
utatibu kidonda kwa muda kidogo lakin tatto itakuwa imefutika
na kudedicate wimbo wa tattoo wa jordin spark ukuburudishe asubuh ya leo
mimi ni kijana wa kidato cha sita, nina tatoo ya kuchora kwa mwiba kwenye mkono na paja, ndoto yangu ni kuwa mwanajeshi, naomba msaada kuhusu tiba ya kuondoa tatoo mwilini ili ni qualify kwenda jeshi.
mimi ni kijana wa kidato cha sita, nina tatoo ya kuchora kwa mwiba kwenye mkono na paja, ndoto yangu ni kuwa mwanajeshi, naomba msaada kuhusu tiba ya kuondoa tatoo mwilini ili ni qualify kwenda jeshi.
Mimi ni kijana wa kidato cha sita, nina tatoo ya kuchora kwa mwiba kwenye mkono na paja, ndoto yangu ni kuwa mwanajeshi, naomba msaada kuhusu tiba ya kuondoa tatoo mwilini ili ni qualify kwenda jeshi.