Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,450
- 203,040
Muulize OP ‘original posterHujaelewaka
Aliyepost uzi. Lol
Muulize OP ‘original posterHujaelewaka
Ko makovu makubwa likiwa fogoUnasemaje kabahatika kwenda wakati anayo tattoo? Kitendo cha kuwa na tattoo tu ni sababu tosha kuwa hutajiunga na jeshi lolote hapa Tz, na kujichoma na pasi haitamsaidia maana hata makovu makubwa huwa hayatakiwi.
Yeye kazungumzia kufuta tattoo ila Ww ndio umezungumzia mambo ya ORDER.Muulize OP ‘original poster
Aliyepost uzi. Lol
Kwa dunia ya sasa haishindikaniApan jina lake tu anitha
Nisimfiche kwa sheria za bakabaka haiwezekani. Japo ya Mungu mengiPole yake,
2014 tulikua mujibu tulimkuta afande mmoja anatatoo kubwa Mkononi, tukawauliza wale maafande wadogo wakasema huyu aliingia kwa kipaji cha boxing miaka ya zamani , huyo mdogo wako na yeye ataenda kwa kipaji cha boxing au Shadow7 sa meja inawezekana
Acha avune ujinga wakeHabari wana JamiiForums samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini ana tattoo ya jina mkononi, anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma na pasi wanasema makovu hawataki.
Anahitaji msaada afanyaje ni kitu alichokipigania sasa amebahatika ndo iko hivo msaada nini afanye
😂😁😁 Naunga mkono hojaAcha avune ujinga wake
Hamna namna, watu wanajitiaga ujuaji usio kuwa na maana 😄😁😂😁😁 Naunga mkono hoja