Msaada wa kuondoa tattoo

Msaada wa kuondoa tattoo

Zinafutika vizuri tu tatizo bei,ajiandae na si chini ya Laki Tano,na kama ni kubwa awe na milioni na zaidi
 
Habari wana JamiiForums samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini ana tattoo ya jina mkononi, anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma na pasi wanasema makovu hawataki.

Anahitaji msaada afanyaje ni kitu alichokipigania sasa amebahatika ndo iko hivo msaada nini afanye
Kwa Kweli mdg wako huyo mlimlea kimandazi Sana ona gharama yake Sasa

Kuna pisi Kali juz alitaka Kuja kunitembeleaa kutoka moro kuja ddm nilivyo kumbuka mitatu yake aliyo yachora mikononi nikaingia mitini
 
Kama amechora tattoo kwenye tyakko lake ninaweza kuifuta ila kama ni sehemu nyingine ya mwili no idea.
Apambane na hali yake.
 
Sio jeshini tu hata TANESCO hawakuajiri.Rafiki yangu aliifuta kwa kuchomwa chomwa na kitu kama kipen watu wa afya watakua wanakijua ila kovu lazima.
 
Back
Top Bottom