Msaada wa kuondoa tattoo

Msaada wa kuondoa tattoo

Habari wana jamii forum samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini.ana tatoo ya jina mkononi anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma.na Pasi wanasema.makovu hawataki anahitaji msaada afanyaje ni kitu alichokipigania sasa amebahatika ndo iko hivo msaada.jamani nini afanye
Tattoo zinaweza kuondolewa na wataalam lakini inategemea alizichora kwa kutumia nini? Je, alichora kwa wataalam wa kuchora kwa kutumia wino au ilikuwaje? Kwa Bongo sijui kama kuna watu wenye utaalam wa kuondoa lakini majuu zinaweza kuondolewa kwa kutimia laser japo inaweza isifutike kabisa. Kama ni tattoo ndogo dr anaweza kufanya surgery kwa kukata hiyo ngozi na kushona iliyobaki. All in all, tusipende kuiga vitu bila kujua madhara yake hasa kwa nchi kama zetu.
 
Tattoo zinaweza kuondolewa na wataalam lakini inategemea alizichora kwa kutumia nini? Je, alichora kwa wataalam wa kuchora kwa kutumia wino au ilikuwaje? Kwa Bongo sijui kama kuna watu wenye utaalam wa kuondoa lakini majuu zinaweza kuondolewa kwa kutimia laser japo inaweza isifutike kabisa. Kama ni tattoo ndogo dr anaweza kufanya surgery kwa kukata hiyo ngozi na kushona iliyobaki. All in all, tusipende kuiga vitu bila kujua madhara yake hasa kwa nchi kama zetu.
Ndio alichora kwa wwino
 
Habari wana jamii forum samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini.ana tatoo ya jina mkononi anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma.na Pasi wanasema.makovu hawataki anahitaji msaada afanyaje ni kitu alichokipigania sasa amebahatika ndo iko hivo msaada.jamani nini afanye
Zipodawa za kufuta makovu mwambie awatembelee watu wa dawa za asili wanaotibu ngozi huwa wanachanganya na vitu gani sijui kovu linpotea kabisa kama halina muda mrefu. dawa zingine zinaweza kuondoa makovu ya muda mrefu ilaatatumia hata miezi 9 unaitumia tu mwisho inafutika kabisa asiwe na haraka. ajiandae na gharama tu, kuna jamaa yyeye enzi za ujana alitoga masikio lakini waliyaziba kwa hizo dawa jama yuko jeshi kwasasa
 
Itakuwa order imetoa jina lake, reporting time bado.
Order kutoka wapi? Na hilo jina lake jeshi imelipataje? Ninachojua kabla ya hata ya kuitwa jeshini lazima Kuna mchakato uwe umepitia sasa yy kafikaje hatua ya kuitwa bila kupitia huo mchakato? Naomba kufahamishwa.
 
Habari wana jamii forum samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini.ana tatoo ya jina mkononi anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma.na Pasi wanasema.makovu hawataki anahitaji msaada afanyaje ni kitu alichokipigania sasa amebahatika ndo iko hivo msaada.jamani nini afanye
Huyo ni mhuni, jeshi haliajiri wahuni bali hupambana na wahuni. Kijana mdogo huyo ameshajichora tatoo unasubiri nini. Siyo jeshini tu ajirq yoyote genuine hawezi pata labda wasione
 
Unasemaje kabahatika kwenda wakati anayo tattoo? Kitendo cha kuwa na tattoo tu ni sababu tosha kuwa hutajiunga na jeshi lolote hapa Tz, na kujichoma na pasi haitamsaidia maana hata makovu makubwa huwa hayatakiwi.
 
Ujana nusu kichaa ,ujana maji ya moto ,wakichora mijitatoo wewe mwanamuziki au stripper?
 
Order kutoka wapi? Na hilo jina lake jeshi imelipataje? Ninachojua kabla ya hata ya kuitwa jeshini lazima Kuna mchakato uwe umepitia sasa yy kafikaje hatua ya kuitwa bila kupitia huo mchakato? Naomba kufahamishwa.
Ask OP
 
Mkononi upande usawa wa kiwiko

mengini

fuh kam.ni mda.mrefu na inatakawi aende

Wasione nini ndo maana anaomba msaada
dawazakufutamakovu hua ni za muda mrefu miezi mitatu na kuendelea hata mwaka, yeye anatumia tu mwisho huwa inafutika unaweza kuona mwanzo inafanyakazi kisha ikaacha sasaunatakiwa kuendelea kutumia tu hatamiezi 8 inafutika.tafuta wanaotibungozi kwa dawa zamitishamba
 
Back
Top Bottom