Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,437
- 54,907
Habari Wamama naomba mnielekeze jinsi ya kupika Vinamba please πππππππ
Monetary doctor
Monetary doctor
Habari Wamama naomba mnielekeze jinsi ya kupika Vinamba please πππππππ
View attachment 3551803
Kaka hapana unajua msimu wa sikuku kuu huu nataka niazne kupika vinamba niwe nazungusha hapa au naweka kwenye deri hapa mtaaniUnataka kuandaa futari nini, Oa kaka usiwe unasumbuka na vitu kama hivi π
Mwachi atajua vyote ila hii ya vinamba sizani aiseee maana ni topic nyingineSector ya Mwachiluwi , mdogo angu unaitwa Huku.
Ngoja tuoneeMwachi atajua vyote ila hii ya vinamba sizani aiseee maana ni topic nyingine
Wamama sio? Mi ni bintiπ€
Wewe umeoa dosho?Unataka kuandaa futari nini, Oa kaka usiwe unasumbuka na vitu kama hivi π
Bado taratibu zipoje za kuleta posa πWewe umeoa dosho?
Njoo na msaafu tu huku kwetu hakuna shida kabisa..Bado taratibu zipoje za kuleta posa π
Sikuelewa vinamba ni nini mpaka nilipoona picha!Ingia Youtube, unataka ujifunze kupika kwa maandishi!!
Vinamba namba, unguja wanavipendajeee, binafsi sijawahi hata kuvionjaSikuelewa vinamba ni nini mpaka nilipoona picha!
Sio kwamba ni vya watoto?Vinamba namba, unguja wanavipendajeee, binafsi sijawahi hata kuvionja
Kasema kwa ajili ya biasharaSio kwamba ni vya watoto?
Mashallah! Takbir !Njoo na msaafu tu huku kwetu hakuna shida kabisa..
Hata watu wazima, pipi ni kama za watoto ila hata watu wazima tunazilaSio kwamba ni vya watoto?
π π π hasa we Poor Brain unamuona mtu mzima?Sio kwamba ni vya watoto?
Biashara ya watoto itakuaKasema kwa ajili ya biashara