MSAADA: Tatizo la wanaume kuota matiti

MSAADA: Tatizo la wanaume kuota matiti

kumbe chupa isiwe kama ya soda yani viwe vipisi tu
Hapana iwe ni chupa nzima iliyo tupu ambayo haijapasuka lakini ya kioo si ya plasiki au kama vyuma viwili nia ni kusaiga huo ugumu ugumu au uvimbe ulio ndani ya titi
 
Hapana iwe ni chupa nzima iliyo tupu ambayo haijapasuka lakini ya kioo si ya plasiki au kama vyuma viwili nia ni kusaiga huo ugumu ugumu au uvimbe ulio ndani ya titi
poa poa nitajaribu

qn;matokeo ni baada bya muda gani
 
Tatizo la kuota matiti kwa wanaume dawa yake nini ,matiti yanavimba ukiyabonyeza kunakuwa na kitu kigumu kwa ndani, sasa nataka hako kajitu katoke je nifanyeje? Kama kuna dawa ya asili pia naomba msaada.
Kuna watu wazima na juzi hapa nilimuona Waziri mmoja nguli akiwa na matiti flani kifuani.

Hii ni shida na inaashiria mkusanyiko wa vurugu kifuani...

Mwanaume kuwa na matiti ni dalili mbaya
 
Kuna watu wazima na juzi hapa nilimuona Waziri mmoja nguli akiwa na matiti flani kifuani.

Hii ni shida na inaashiria mkusanyiko wa vurugu kifuani...

Mwanaume kuwa na matiti ni dalili mbaya
Nilisikia kwa Watu wazima ni kawaida kwani miili yao hupunguza kuzalisha homoni za kiume

Kwa kijana ni aidha uzito mkubwa na kama jamaa alivyosema ana glands "hivyo vitu vigumu kifuani".. Hiyo ni gynocomastia na kikawaida unatakiwa kufanyiwa surgery kuziondoa hizo kokwa
 
nimefatilia sana tiba, sijapata alternative option zaidi ya kufanya surgery ,na yenyewe unakuwa na option watoe yale mafuta au wakatoe na kale ka kitu kanakozarisha hayo mafuta sijui ndio maziwa anyway, sasa mimi nitaenda kukatoa hako ka kitu ndio option pekeee, but kama kuna mtu ana ushauri kwa hapo naomba anipe ushauri
Ukiyashika unasikia nyege
 
Mkuu ulipokuwa stage hio ya makuzi ulifanya hivyo ulivyoandika? Mimi nakumbuka ilipotea yenyewe tu.
Ilipotea yenyewe but Kuna watu nimewahi kuona wakikamuliwa ili kuondoa uvimbe
 
Hapo hapo unakuwa ni uji huo uvimbe na maji yanatoka. Hakikisha mtu atakayeyabonda asiwe anakuhurumia kwani dawa ya homa ni sindano.
nimevibonda jana usiku maumivu yake ni balaa ila zoezi limefeli, cos baada ya kuvibondabonda maji hayajatoka nikavikamua bado bilabila
 
Back
Top Bottom