dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,608
- 60,882
noma sana mwanangu, B wangu was the bombukikutana na mdada anajua kuvinyonya ni 🔥🔥
noma sana mwanangu, B wangu was the bombukikutana na mdada anajua kuvinyonya ni 🔥🔥
Unaweza kuwa kama katoto hivi yaani unapotea kabisa na kuwa kama upo dunia ingine acha kabisaa 😁😁😁😁 unaweza tamani vinyonye tuuunoma sana mwanangu, B wangu was the bomb
hahaha hatariiUnaweza kuwa kama katoto hivi yaani unapotea kabisa na kuwa kama upo dunia ingine acha kabisaa 😁😁😁😁 unaweza tamani vinyonye tuuu
Chukua chupa mbili zigonganishe hilo titi likiwa katikatiTatizo la kuota matiti kwa wanaume dawa yake nini ,matiti yanavimba ukiyabonyeza kunakuwa na kitu kigumu kwa ndani, sasa nataka hako kajitu katoke je nifanyeje? Kama kuna dawa ya asili pia naomba msaada.
ebu elezea kidogoChukua chupa mbili zigonganishe hilo titi likiwa katikati
Tafuta mtu achukue chupa mbili tupu na titi aliweke katikati, aligonganishe hizo chupa. Kweshilia mbali hayo matitiebu elezea kidogo
ah ah ah qmmmmqTafuta mtu achukue chupa mbili tupu na titi aliweke katikati, aligonganishe hizo chupa. Kweshilia mbali hayo matiti
unamaanisha kuakamua kwa kutumia chupaTafuta mtu achukue chupa mbili tupu na titi aliweke katikati, aligonganishe hizo chupa. Kweshilia mbali hayo matiti
Si kukamua ila kugonganisha. Kuyabonda hayo matitiunamaanisha kuakamua kwa kutumia chupa
Duh!..Tafuta mtu achukue chupa mbili tupu na titi aliweke katikati, aligonganishe hizo chupa. Kweshilia mbali hayo matiti
i hope yre making a joke or somethingSi kukamua ila kugonganisha. Kuyabonda hayo matiti
Hospitali wamesemaje?MIAKA 25 NISHAKIMBIA KWENYE PUBERTY NA ILIANZA KUTOKEA TOKEA CLASS 5 MIAKA 12 MPAKA SASA. nilishayakamua yanarudi tu yenyewe, yanakera kinoma huwezi ukavaa shati la size lazima uoversize na utembee umeinama kama una kibyongo ili watu wasione, huwezi ukakaa kifua wazi in short yanafanya ukose confidence, u
Nakueleza kitu ambacho mama yangu alinifanyia nilipobarehe na mimi mtoto wangu nilimfanyia. Inauma sana ila inaondoa hilo tatizo. Ndiyo dawa yake yagonge kwa chupa mbili na titi liwe katikatii hope yre making a joke or something
MIAKA 25 NISHAKIMBIA KWENYE PUBERTY NA ILIANZA KUTOKEA TOKEA CLASS 5 MIAKA 12 MPAKA SASA. nilishayakamua yanarudi tu yenyewe, yanakera kinoma huwezi ukavaa shati la size lazima uoversize na utembee umeinama kama una kibyongo ili watu wasione, huwezi ukakaa kifua wazi in short yanafanya ukose confidence, u
walisema ni kawaaida ,hadi doctor akanionesha na yeye anayo, ili kunithibitishia ni kawaida lakini mimi sijakubaliana nayo hayo majitu [cueste lo que queste] nitayatoaga tu one dayHospitali wamesemaje?
nitafanya hivyo mkuu ingawa ina sound like ajoke, tatizo likiingia dawa ni dawa ilimradi uponeNakueleza kitu ambacho mama yangu alinifanyia nilipobarehe na mimi mtoto wangu nilimfanyia. Inauma sana ila inaondoa hilo tatizo. Ndiyo dawa yake yagonge kwa chupa mbili na titi liwe katikati
Dah kweli kila jinsia na vitu vyake, wadada ukiwa na kifua kinachoonekana ndiyo fahari yetu na unaachia kinafasi kidogo ili kionekane, ila upande wa pili ni shida. Nenda hospital huenda ukashauriwa vyema mkuu.MIAKA 25 NISHAKIMBIA KWENYE PUBERTY NA ILIANZA KUTOKEA TOKEA CLASS 5 MIAKA 12 MPAKA SASA. nilishayakamua yanarudi tu yenyewe, yanakera kinoma huwezi ukavaa shati la size lazima uoversize na utembee umeinama kama una kibyongo ili watu wasione, huwezi ukakaa kifua wazi in short yanafanya ukose confidence, u
Ukiyasaga mara moja basi! chukua chupa za kioo si za plastiki. Titi linakuwakatikati unabamizanitafanya hivyo mkuu ingawa ina sound like ajoke, tatizo likiingia dawa ni dawa ilimradi upone
q;nifanye hivyo kwa siku ngapi , na chupa gani
walisema ni kawaaida ,hadi doctor akanionesha na yeye anayo, ili kunithibitishia ni kawaida lakini mimi sijakubaliana nayo hayo majitu [cueste lo que queste] nitayatoaga tu one day