MSAADA: Tatizo la wanaume kuota matiti

MSAADA: Tatizo la wanaume kuota matiti

Tatizo la kuota matiti kwa wanaume dawa yake nini ,matiti yanavimba ukiyabonyeza kunakuwa na kitu kigumu kwa ndani, sasa nataka hako kajitu katoke je nifanyeje? Kama kuna dawa ya asili pia naomba msaada.

Ebu tuwekee izo chuchu tuzione
 
Mara nyingi hiyo hali huwatokea vijana wa Kiume wanapofika umri wa balehe.

Hiyo hali huwa inapotea Kwa kuyakamua na kutoka vimaji Maji kama Maziwa. Usipofanya hivyo wanasema huvimba na kufanya mtoto kuwa na Maziwa makubwa kama mdada.

Ngoja wataalamu waje kutoa muongozo

we nyie ndo waongo nilifanya ivo form 3 ila nilijaribu upande mmoja,,, had leo upande mmoja upo inbad shape!!
Huwa vinavimba mwisho wa siku vinarudi
 
Back
Top Bottom