spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,532
Gynecomastia polee mkuu jikubali
Mkuu pole kwa tatizo mara nyingi gynecomastia inasababishwa na upungufu wa hormone dominant upande wa kiumeni nayo ni testosterone na ukawa umezidia na hormone dominant upande wa kikeni oestrogen kufanya uote matiti
Matiti ni adipose tissue zaidi na kuna uhusiano wa moja kwa moja na unene hivyo nakushauri kama ni una weight kubwa ujitahidi kukata weight hio na mwsho ujikubal
Mpe basi wewe matibabu mimi nmesemea experience yangu mkuu vipi mzeeDume ajikubali kuwa na nyonyo??!!--- What are you talking about?!!😏
There must be a cure, let's find out.
Mpe basi wewe matibabu mimi nmesemea experience yangu mkuu vipi mzee
Gynecomastia labda kwako ndo unashangaa sana mimi nmekutana na watu wengi wapo ivo na wamekubaliana na ukae ukijua hayawi matiti kabisa kabisaNi hivi; mimi sijakataa experience yako ninachokataa ni ushauri wako kwamba ajikubali na hali hiyo, hii maana yake unamkatisha tamaa asitafute tiba, yakupasa ujue kama mimi au wewe hatujui dawa basi kuna wengine wanajua dawa, mimi ushauri wangu kwake ni kwamba aendelee kutafuta dawa kwani dunia ni vast in medicines and cures, lakini dume kuwa na nyonyo hapana aisee, Mungu ampiganie Amiin.
Gynecomastia labda kwako ndo unashangaa sana mimi nmekutana na watu wengi wapo ivo na wamekubaliana na ukae ukijua hayawi matiti kabisa kabisa
vipi ushatake action au umevikubari?Hivi vidude nami ninavyo mzee
Mkuu ulipokuwa stage hio ya makuzi ulifanya hivyo ulivyoandika? Mimi nakumbuka ilipotea yenyewe tu.Mara nyingi hiyo hali huwatokea vijana wa Kiume wanapofika umri wa balehe.
Hiyo hali huwa inapotea Kwa kuyakamua na kutoka vimaji Maji kama Maziwa. Usipofanya hivyo wanasema huvimba na kufanya mtoto kuwa na Maziwa makubwa kama mdada.
Ngoja wataalamu waje kutoa muongozo
Una umri gani?nimefatilia sana tiba, sijapata alternative option zaidi ya kufanya surgery ,na yenyewe unakuwa na option watoe yale mafuta au wakatoe na kale ka kitu kanakozarisha hayo mafuta sijui ndio maziwa anyway, sasa mimi nitaenda kukatoa hako ka kitu ndio option pekeee, but kama kuna mtu ana ushauri kwa hapo naomba anipe ushauri
24Una umri gani?
UTakua umekula Sana nyama za kuku za bloilerMIAKA 25 NISHAKIMBIA KWENYE PUBERTY NA ILIANZA KUTOKEA TOKEA CLASS 5 MIAKA 12 MPAKA SASA. nilishayakamua yanarudi tu yenyewe, yanakera kinoma huwezi ukavaa shati la size lazima uoversize na utembee umeinama kama una kibyongo ili watu wasione, huwezi ukakaa kifua wazi in short yanafanya ukose confidence, u
acha dharau bro watu tuko serious unaleta upumbavu wako
Una urefu na uzito Kia's gan mkuuMIAKA 25 NISHAKIMBIA KWENYE PUBERTY NA ILIANZA KUTOKEA TOKEA CLASS 5 MIAKA 12 MPAKA SASA. nilishayakamua yanarudi tu yenyewe, yanakera kinoma huwezi ukavaa shati la size lazima uoversize na utembee umeinama kama una kibyongo ili watu wasione, huwezi ukakaa kifua wazi in short yanafanya ukose confidence, u
ukikutana na mdada anajua kuvinyonya ni 🔥🔥em weka kapicha mkuu,