MSAADA: Tatizo la wanaume kuota matiti

MSAADA: Tatizo la wanaume kuota matiti

Pole mkuu hiyo inshu nahisi homon zitakuwa znachangia tatzo lako pakubwa Huenda hazko balance nikshaur ujarbu kutumia miziz ya mpera na mizizi ya mbaazi ukatekate vdgovdgo alafu uchemshe unywe kama wiki moja hvi kikombe asbuh na jion itawezq kkusaidia jarbu
 
Pole mkuu hiyo inshu nahisi homon zitakuwa znachangia tatzo lako pakubwa Huenda hazko balance nikshaur ujarbu kutumia miziz ya mpera na mizizi ya mbaazi ukatekate vdgovdgo alafu uchemshe unywe kama wiki moja hvi kikombe asbuh na jion itawezq kkusaidia jarbu
poa poa kaka
 
Tumia moja kati ya hizooo utakuja nishukuru tena ungekuwa umeshaanza,,,afu nipe feedback
 
nimefatilia sana tiba, sijapata alternative option zaidi ya kufanya surgery ,na yenyewe unakuwa na option watoe yale mafuta au wakatoe na kale ka kitu kanakozarisha hayo mafuta sijui ndio maziwa anyway, sasa mimi nitaenda kukatoa hako ka kitu ndio option pekeee, but kama kuna mtu ana ushauri kwa hapo naomba anipe ushauri
Mzee mzee em tupee yaliyojiri
 
Kuna dr. nimemsahau vizuri jina na bahati mbaya nilipoteza mawasiliano yake.

Kuna siku nilimsikia kwenye kipindi cha afya katika kituo cha tv. Katika maelezo yake alisema hayo ni matatizo ya homoni. Yanaweza kuisha kwa kupewa dawa za kubalansi homoni ile miezi michache ya kwanza kuonesha dalili husika. Hili tatizo pia huwapata watu wenye umri wa miaka fulani (nimesahau ila ni ya utu uzima sana) ambapo napo homoni za kike huwa zinakuwa nyingi kwa baadhi ya watu ingawa ni wachache.

Njia nyingine ni operation.
Kuna mtu alimwuliza kuhusu uwezekano wa kuzaa mtoto mwenye tatizo kama hili kwa mtu mwenye tatizo husika, akasema haiwezekani ingawa inaweza kutokea pia.
 
Back
Top Bottom