Msaada: Pete ya ndoa imetumbukia chooni

Msaada: Pete ya ndoa imetumbukia chooni

Hiki kihoro hadi kuanzisha thread huku ni kupotea makusudi.

Kuna jamaa alivua pete ili aende kwa mchepuko. Ikapotea kwenye mazingira tata! Hivi hiyo pete imetumbukia vipi chooni? Ilikuwa ina pwaya au? Hivi pete ya ndoa huwa inavuliwa? Ni kwa muda gani unaitoa au kuivaa?
Itakuwa ni chooni kwa mchepuko wake labda
 
Nataka fanya hivyo,ila itanigharimu sana na vyuma vilivyokaza nawaza sana..
Si uviweke gris hvyo vyuma ili vilegee, ww unatoa ya nn mm ninavyojua Pete za bei ghali huwa hazitolew unaogea unafulia na haipauk ila pole
 
Ilikua inapwaya ie over size..au ulivua au ilikuwaje? Kama ni bahati mbaya mwenzio hutasita kumwambia..na kama ana busara haitamchukua muda ku realize kuwa hata wewe hukupenda ipotee.

Ila kama ni michezo yako...jipange !
 
Bado tena changa sana..
Changa wakt limepwaya mpk mkono IKAKONDA????

ILA NIKWAMBIE UKWELI NDG MAMBO YA KUVAA PETE NI ISHARA ZA KIPAGANI TOKA BABELI,MISRI NA WARUMI.

NDOA NI AHADI KT YA WAWILI WAPENDANAO PETE NI CHOMBEZA NA MBWEMBWE TU.
 
Ilikua inapwaya ie over size..au ulivua au ilikuwaje? Kama ni bahati mbaya mwenzio hutasita kumwambia..na kama ana busara haitamchukua muda ku realize kuwa hata wewe hukupenda ipotee.

Ila kama ni michezo yako...jipange !
Huwaga inapwaya nikiwa naogaga ila ktk mazingira ya kawaida huwa ipo tight. Na pia huwa naivuaga nyakati za kuoga ama kufua kwa kuifanya isifubae
 
Niliivua nikaiweka juu ktk kile kitank cha maji kwa vyoo vya kuflash. Sasa baada ya kuvuta kamba ya kuflashia ndio ikateleza baada ya maji kuanza kutoka si huwayana kasi na vile vitank huwa vina-vibrate/tetemeka..

Tumekuelewa! Ila PAMBANA NA HALI YAKO
 
Back
Top Bottom