Msaada: Pete ya ndoa imetumbukia chooni

Msaada: Pete ya ndoa imetumbukia chooni

Wanaume wa siku hizi sijui tumekuaje yani mada za kijinga nyingi tunaanzisha sisi!.. Kapotelewa na pete analeta uzi eti MSAADA sasa tuje saidia nyonya uchafu chooni.
Kiherehere cha nini kucomment,kama mada ni ya kijinga kwako acha kuchangia.
 
Ndoa zingine zinatikiswa na pete, si mchezo kabisa.
Mitikiso ya ndoa haiwezi fanana. Kwako hili kwa mwenzako lile. Mwisho wa siku ni kuisawazisha ili maisha ya amani na furaha yaendelee kutamalaki ndani ya nyumba.
 
Kiherehere cha nini kucomment,kama mada ni ya kijinga kwako acha kuchangia.
Nakusahihisha ulitaka nikwambie kampigie magoti mkeo!?..Haya nenda kamuombe msamaha mkeo umedrop pete chooni! happy now moron!?..
 
Nakusahihisha ulitaka nikwambie kampigie magoti mkeo!?..Haya nenda kamuombe msamaha mkeo umedrop pete chooni! happy now moron!?..
Sikutaka uniambie hivyo. Ila pouwa nimeshakuelewa.
 
Habarini wana jamvi.

Naombeni msaada pete ya ndoa imetumbukia chooni na imeshaflashiwa.

Je kuna namna ya kuweza kuipata. Leo ni siku ya 06 tangu tukio hilo litokee.

NDIO IPO NAMNA UNAWEZA PATA, NENDA TOWN KWA SONARA OR DUKA LA UREMBO UTAPATA INGINE!
 
Habarini wana jamvi.

Naombeni msaada pete ya ndoa imetumbukia chooni na imeshaflashiwa.

Je kuna namna ya kuweza kuipata. Leo ni siku ya 06 tangu tukio hilo litokee.
Acha uboya nenda kwa sonara kachonge nyingine
 
Back
Top Bottom