Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,837
Huwaga inapwaya nikiwa naogaga ila ktk mazingira ya kawaida huwa ipo tight. Na pia huwa naivuaga nyakati za kuoga ama kufua kwa kuifanya isifubae
Hiyo tabia ya kui put on and off ndo hupelekea kupotea mara nyingi!
Ukute uliisahau bafuni Kama kunaingia watu wengine ambao si waaminifu wanaiiba kimya kimya !
Katengeneze ya kukutosha vizuri isikupwae wala kukubana Hata unaposhika Maji Au mapovu!
Hilo linawezaekana kabisa!
Hayo mambo ya kusema itapauka binafsi sioni Kama yana msingi wowote,
Zikipauka pelekeni kwa sonara mkasafishe na siyo kuvua wakati wa kuoga Au kufua na kisha kuvaa tena!
Kwa mwenendo huo utakuwa unapoteza mara kwa mara !
