hibiscus interior
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,168
- 596
Hata ndoa yako itatumbukia
Nami itanibidi nikachonge ingine ya kufanana na ile aiseeee.Nina rafiki yangu alipoteza pete kwa bahati mbaya sokoni,ilikua inapwaya sasa katika kuchagua vitu ikavuka hata ilipkdondokea hatukuona,ilibidi akachonge nyingine ya kufanana na ile ile ili husband asilete zengwe
Nunua nyingineHabarini wana jamvi.
Naombeni msaada pete ya ndoa imetumbukia chooni na imeshaflashiwa.
Je kuna namna ya kuweza kuipata. Leo ni siku ya 06 tangu tukio hilo litokee.
Lete pesa nikupe yangu gram tano,lete lakini tatu tuuHabarini wana jamvi.
Naombeni msaada pete ya ndoa imetumbukia chooni na imeshaflashiwa.
Je kuna namna ya kuweza kuipata. Leo ni siku ya 06 tangu tukio hilo litokee.
Ahsante sana mkuu. Nitafanya hivyo mana kukaa bila pete si jambo jema sana kwangu na wana jamii wanaonizungukaKanunue nyingine kisha peleka kwa paroko aibariki halafu mkeo atakuvisha Hata mara utakaporudi nyumbani !
Mimi pia mwenzangu aliniambia kaipoteza wala sikupata tashwishwi baada ya muda flani tukanunua zingine ile yangu ilipauka akapeleka zikabarikiwa akaziketa nyumbani tukaveshana!
Huyo mkeo akuelewe tu aache mambo ya kitoto!
Basi jitumbukize nawe chooniDah inaniuma sana. Ilikuwa nzuri na ya gharama sana..
Pete haina maana yoyotePole sana ilikuwaje mpaka ikaponyoka au vidole vimekonda![]()
![]()
Sasa hii ni ya kwangu nmekupa alternative ili kurekebisha wenye upogo sasa ukinidai kama ndo nmechukua Pete yu yako mkuu,hutakuwa sahihiYangu ilikuwa 8 Grams niliinua Yakub Jewels 2016..