Bullycheka
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 560
- 493
Eti pete ikabarikiwa Kanisani,hizi iman za kipagani ni mpk ndani ya makanisa yetu.Maneno yako yamenirudishia tumaini jipya..
Eti pete ikabarikiwa Kanisani,hizi iman za kipagani ni mpk ndani ya makanisa yetu.Maneno yako yamenirudishia tumaini jipya..
Eti pete ikabarikiwa Kanisani,hizi iman za kipagani ni mpk ndani ya makanisa yetu.
Vunja chooHabarini wana jamvi.
Naombeni msaada pete ya ndoa imetumbukia chooni na imeshaflashiwa.
Je kuna namna ya kuweza kuipata. Leo ni siku ya 06 tangu tukio hilo litokee.
Akome kuuliza maswali ya kijingaHiyo ni dalili kuwa unasalitiwa na mungu haipendi hiyo ndoa,ukiilazimisha ni wazi kuwa UTAKUFA.
Haina umuhimu wowote ni mbwembwe.Hivi pete ina umuhimu gani kwenye ndoa mie sielewi?![]()
kama kuna bahati mbaya ,hiyo nayo ni ishara ya bahati mbaya !!!Huwa naivuaga hasa wkt wa kuoga ama kulala siku moja moja. Huwa sina michepuko tangu nilipooa mwaka.
Sikuipoteza makusudi ni bahati mbaya tu mkuu. Mana ni nzr na gharama sana na pia kumbuka baba paroka aliibariki kanisani..
Ingia kwenye choo jiflash na wewe uifate...Dah inaniuma sana. Ilikuwa nzuri na ya gharama sana..
hata mm sielewag,mtu utakuta anavaa pete mpaka kidole kinabanwa na kushindwa kuptisha daku lakn mtu utakuta kaing'ang'ania tuu jinga saanaHivi pete ina umuhimu gani kwenye ndoa mie sielewi?![]()
Hivi pete ina umuhimu gani kwenye ndoa mie sielewi?![]()
Ndoa/Mahisiano sio PETE, acha kujipa Presure..!
Hatuvai na wala hatuna mpango.Siku mumeo/mkeo atakaporudi bila pete ya ndoa mkononi mje kutuletea mrejesho hapa jF.
Hizi waga ni imani za kishenzi.. Usipende kufikili vitu tofauti hivyo. Nazani hiyo nikama ajari nyingine tu.. Mbona mkidondosha simu amji na vikra za ajabu namna hii..!?Hiyo ni dalili kuwa unasalitiwa na mungu haipendi hiyo ndoa,ukiilazimisha ni wazi kuwa UTAKUFA.
Huenda ilikua inampwaya usimlaumu sanaHiki kihoro hadi kuanzisha thread huku ni kupotea makusudi.
Kuna jamaa alivua pete ili aende kwa mchepuko. Ikapotea kwenye mazingira tata! Hivi hiyo pete imetumbukia vipi chooni? Ilikuwa ina pwaya au? Hivi pete ya ndoa huwa inavuliwa? Ni kwa muda gani unaitoa au kuivaa?
Kinacho kuuma ni gharama ya pete au ndoa yako kuvunjika.Dah inaniuma sana. Ilikuwa nzuri na ya gharama sana..