Msaada: Pete ya ndoa imetumbukia chooni

Msaada: Pete ya ndoa imetumbukia chooni

Habarini wana jamvi.

Naombeni msaada pete ya ndoa imetumbukia chooni na imeshaflashiwa.

Je kuna namna ya kuweza kuipata. Leo ni siku ya 06 tangu tukio hilo litokee.
Daaaaahhh kuna vitu vingine. Ila ngoja nikupe ushauri vinja choo tumbukia ukaitafute kama mwezako mmoja kwenye movi alikuwa anatafuta almasi ikaliwa na mamba akatumbukia mtoni kuifata.
 
Wife hanielewi,mana siku zote huwa naivuaga chumbani kabla sijaenda bafuni/toilet. Sasa ile ijumaa nilijisahau nikaenda nayo bafuni na ndipo ikatunbukia bahati mbaya wkt naflash choo.
Basi mkachonge tu nyingine
 
Pete Haina saini yako kuwa umefunga ndoa, ungepatwa na mahangaiko kama kile cheti kimepotea au vinginevyo, Pete nunua nyingine
 
Huwa naivuaga hasa wkt wa kuoga ama kulala siku moja moja. Huwa sina michepuko tangu nilipooa mwaka.
Sikuipoteza makusudi ni bahati mbaya tu mkuu. Mana ni nzr na gharama sana na pia kumbuka baba paroka aliibariki kanisani..
Sijasema unachepuka mkuu, hiyo ni story nimesema ya jamaa flani. Kwanini uliivulia chooni mkuu?
 
Wife hanielewi,mana siku zote huwa naivuaga chumbani kabla sijaenda bafuni/toilet. Sasa ile ijumaa nilijisahau nikaenda nayo bafuni na ndipo ikatunbukia bahati mbaya wkt naflash choo.
Nina rafiki yangu alipoteza pete kwa bahati mbaya sokoni,ilikua inapwaya sasa katika kuchagua vitu ikavuka hata ilipkdondokea hatukuona,ilibidi akachonge nyingine ya kufanana na ile ile ili husband asilete zengwe
 
PETE ILIKUWA INAPWAYA? WAKAT WA KUJICHAMBA IKASELELEKA SYO! POLE, nunua nyingne
 
Habarini wana jamvi.

Naombeni msaada pete ya ndoa imetumbukia chooni na imeshaflashiwa.

Je kuna namna ya kuweza kuipata. Leo ni siku ya 06 tangu tukio hilo litokee.
Pete inanunuliwa na kubarikiwa tu mnavaa tena shida haipo kwani kwa akili yako ulijua hiyo pete haiishi.Huisha na inakuwa na makali by the way yaweza hata kukuchana kama wembe.
Hata hivyo tukio hilo ni mkosi kwako kwa ndoa yako.
 
Kanunue nyingine kisha peleka kwa paroko aibariki halafu mkeo atakuvisha Hata mara utakaporudi nyumbani !
Mimi pia mwenzangu aliniambia kaipoteza wala sikupata tashwishwi baada ya muda flani tukanunua zingine ile yangu ilipauka akapeleka zikabarikiwa akaziketa nyumbani tukaveshana!
Huyo mkeo akuelewe tu aache mambo ya kitoto!
 
Hiki kihoro hadi kuanzisha thread huku ni kupotea makusudi.

Kuna jamaa alivua pete ili aende kwa mchepuko. Ikapotea kwenye mazingira tata! Hivi hiyo pete imetumbukia vipi chooni? Ilikuwa ina pwaya au? Hivi pete ya ndoa huwa inavuliwa? Ni kwa muda gani unaitoa au kuivaa?
Itakuwa aliivaa kwenye utumbo ikatelezea na nnya.
 
Habarini wana jamvi.

Naombeni msaada pete ya ndoa imetumbukia chooni na imeshaflashiwa.

Je kuna namna ya kuweza kuipata. Leo ni siku ya 06 tangu tukio hilo litokee.

Ipigie mbizi
 
Pete Haina saini yako kuwa umefunga ndoa, ungepatwa na mahangaiko kama kile cheti kimepotea au vinginevyo, Pete nunua nyingine
Ahsante. Uchangiaji wako umenipa faraja. Upo vzr mkuu.
 
Ahaaaaaaa koma kuchepuka, najua ulikuwa unaenda kwa mchepuko ukaivua ukaweka mfukoni, ndo hivyo tena chooni huipati kena.
 
Back
Top Bottom